Duniani kuna mambo!

Duniani kuna mambo!

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83
i926_image009.jpg

i925_image006.jpg

i924_image005.jpg

i923_image003.jpg
 
Mambo gani?...mbona jamaa yuko poa tu...ame relax na kupose kama mtu wa kawaida tu
 
Alitakiwa kukamata SAFARI BARIID siyo hako ka-Sprite..hapo ndio kaharibu huyo jamaa..
 
hahahaha ni kweli kuna mambo picha zenyewe zinzchekesha
 
Tumbo KUBWA kama chumba self contained, choo humuhumo..lolz
 
Jamani hilo tumbo na mvua hizi za el nino angezaliwa same sidhani kama angeweza kukimbia hata hatua kumi na tano
 
Hilo tumbo ni kama baloon...so El nino ikija anafloat...halafu ma-miss woote na mifupa yao wanazama au awaokoe..atafaidi...
 
Back
Top Bottom