Duniani kuna watu na viatu

Kuna jamaa anaishi na girlfriend wake, jamaa hana kazi, hela wanayoitegemea ni dada kwenda kutafuta wateja usiku kwenye hoteli za kitalii. Jamaa halali mpaka bibie arudi na akirudi anamuwekea maji ya kuoga.

Hayo ndiyo maisha waliyo chagua
Yapo sana hayo mambo ila mwisho wake huwa mbaya kwa mmoja au wote..

Niliwah kuishi na watu wa aina hiyo pale Dodoma,jamaa ni bodaboda saa kumi na moja jioni anamchukua mkewe wanaenda CDA CLUB jamaa anapaki nje kusubur wateja na mwingine anapak ndani au nje anasubir wateja saa tano wanapitian kurudi home kulala ila marufuk kulala nje mwanamke.
So sad nilisikia walipata ajali wakafa wote walikuwa wanaikimbia difenda ya polisi wkaingia vibaya mataa wakapitiwa semi
 
Ooh RIP, Hii couple niliiyona mwenyewe nilichoka. Jamaa hana hata wazo la kutafuta kazi.
 
Ooh RIP, Hii couple niliiyona mwenyewe nilichoka. Jamaa hana hata wazo la kutafuta kazi.
Afu sijui akili zao huwa wameweka wapi mana mwanadamu wa kawaida huwez fikiria kufanya iko kitu
 
watu na mapenzi yao

hapo jamaa ataanza kuvaa na pads,wigs ili amfurahishe zaidi my Wife wake
 
Kuna couple moja mume alikuwa muuza nazi gengeni, hali ikiwa ngumu mke anaingia kiwanja. Walipata watoto wawili, wa kike na wakiume.

Siku moja mama akiwa kiwanja alipata buzz la kizungu. Lilifika bei linataka kuoa, mama alijadiliana na mumewe walikubaliana kugawana watoto.

Mama aliolewa akaenda Ulaya na binti mzee alibaki na wakiume. Mama alikuwa mjanja kufika Ulaya alimshawish mzungu wanunue nyumba bongo, alimuandikisha mtoto wa kiume.
 
Dah! So sad. Kwa hali hii amani ya moyoni haiwezi patikana kabisa.
Wataishi kwa kufarijiana tu lakini moyoni hamna amani kabisaa.
 
Kuna jamaa anaishi na girlfriend wake, jamaa hana kazi, hela wanayoitegemea ni dada kwenda kutafuta wateja usiku kwenye hoteli za kitalii. Jamaa halali mpaka bibie arudi na akirudi anamuwekea maji ya kuoga.

Hayo ndiyo maisha waliyo chagua
Shosti wangu acha fix
 
Reactions: ywf
Real Hustlers😧
 
maisha hayana formular ni vile ulivyochagua jinsi ya kuishi

wao wamechagua hivyo

inasikitisha
 
Ila wanawake makahaba wana wivuu!!, sijui ata kwanini, ukimchengua kidogo tu anaweza toa mtu roho
 
Japo maisha ni kuchagua ila sio kihivyo hao ni higher risk taker
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…