It brings back a memory of the late John McCain when he thumbed down the Obamacare.McCain was condemned by conservatives for sticking to the same constitutional principles.
What constitutional principle did McCain stick to when he thumbed down that Obamacare vote?
Senator Collins today talked about the principle of due process [specifically the presumption of innocence], which is spoken about in the 5th and the 14th Amendments of the U.S. Constitution.
What about John McCain?
No, inategemea unaangalia kwa mtazamo gani.
Okay, hebu twende mudogo mudogo tuone...
Allegation za Stormy zilionekana weak,
Zilionekana weak kwa mujibu wa nani? Mfano/ mifano?
kadri siku zinavyosonga tunapata picha kubwa zaidi. Trump alimuagiza Trump Jr na Cohen kuzuia timbwili la Stormy kitu ambacho alisema hakikutokea.
Hapo kwa Stormy hakuna kesi hapo. Sana sana kilichopo labda ni embarrasing information tu. Mpaka sasa hakuna ushahidi wowote ule unaomtia hatiani Trump kuwa alikiuka sheria za campaign finance.
Miaka miwili hii inakatika na hakuna lolote. Time to let it go.
Madai ya Russia yalionekana weak kadri siku zinavyokwenda tunajua mengine n.k.
Hahahaaa....Russian collusion illusion. There's no there there! Miaka miwili inakatika hakuna lolote la maana.
Wait! what about Billy Cosby?
Yeah, what about Bill Cosby? Last I checked he was sentenced to 3 to 10 years in a state prison for drugging and sexually assaulting Andrea Constand at his home 14 years ago.
This is 2018, right? So 14 years ago was 2004, right?
There is absolutely no comparison between what Bill Cosby was accused of and eventually found guilty of and what Brett Kavanaugh was being accused of.
Bill Cosby's accuser/ victim reported the incident to police back in 2005.
Dr. Ford waited until Brett Kavanaugh was nominated to the Supreme Court before she conveniently came out.
She couldn't even remember when the supposed incident took place, couldn't remember where it took place, couldn't remember shit about it....but could only remember it was Brett Kavanaugh and Mark Judge.
Mark Judge denied everything.
She had nothing to corroborate her allegations. Nothing.
So Bill Cosby's situation is no where even remotely comparable to what was being alleged against Judge Kavanaugh.
Sexual predators rarely end their predatory ways. Cosby has had a long list of allegations going back some 40 some years ago.
Kavanaugh has been in the limelight for 20 years or so serving at various levels of the US government. Never in his professional he has been accused of such serious crimes.
Only when he got appointed to the US Supreme Court is when all of this crap popped up.
He has sat on the United States Court of Appeals for the District of Columbia Circuit for 12 years. To sit on that bench he had to go through senate confirmation hearings and all that jazz.
Where were all these people then?
Not at all. Nimekuwekea ushahidi wa Rais Trump kukataa FBI wasifanye uchunguzi. Senate Judiciary walikataa uchunguzi wa FBI wakilazimisha kura.
Ni pale tu ambapo Jeff Flake waliweka ngumu na walibaini mchakato utaishia hapo, then Mitch and Trump succumbed to the pressure and accepted the same.
In a rare moment, president Trump bowed down to the pressure and made unconventional U turn.
Okay, sawa. Trump bowed and gave them what they asked for. In the end, like I predicted, there was nothing new.
Hata hivyo, uchunguzi wa FBI uliwekewa uzio 'scope' wahusika Brett and Ford bila kuhojiwa.
Kabla ya hiyo supplemental investigation, Kavanaugh alikuwa keshafanyiwa uchunguzi mara 6!
Isitoshe, Dr. Ford na Judge Kavanaugh wote walikuwa washahojiwa na kamati.
Naamini FBI waliona hakuna sababu ya msingi ya kuwahoji tena ilhali ushuhuda wao mbele ya kamati upo tayari.
Copy ya nakala ilikuwa moja na classified na hakuna uchunguzi mwingine kwa waliojitokeza.
Hiyo ni standard operating procedure ya FBI kutokuweka wazi matokeo ya chunguzi zake.
Katika kamati hakuna aliyeruhusiwa kuleta mashahidi wa tukio.
Katika tukio la watu wawili, who could be right or wrong without witness.
Mhusika mwenyewe hajielewi. Hajui kingine chochote zaidi ya kudai Brett ndiye alimtendea visivyo.
Waste of time.
Hapa nina maana hakukuwepo na ''due process but duress process''.
Naam. Kamala Harris na Dems wenzake kusema kwamba wanamwamini Dr. Ford kabla hata hajaenda mbele ya kamati ni kuonyesha bias ya hatari sana dhidi ya 'mtuhumiwa'.
Walichemka.
Katika siku zijazo kila kitu kitawekwa wazi kwa kujua hakuna atakayezuia na hapo ndipo tutaweza kujua scope ya uchunguzi na nini FBI waliona
Now utapataje evidence bila witness? hasa likiwa tukio la wawili?
Duh!
Kama mhusika mwenyewe hajui chochote zaidi ya kutaja jina la mtuhumiwa, hao mashahidi wengine wangesema nini?
Mark Judge mbona naye FBI walimhoji hii majuzi. Hukusikia?
Watu wote alowataja huyo mama kuwa walikuwepo wamekana.
Huyo mama katumiwa tu kisiasa na Dems. Hakuwa na kesi kabisa dhidi ya Kavanaugh.
And btw, hata aliyetoa sharti la hiyo supplemental investigation, Jeff Flake, karidhika na matokeo ya hiyo investiogation na atapiga kura ya 'Ndiyo' kumthibitisha Kavanaugh.
Ha!
My point kama ilivyokuwa awali ni kuwa kulikuwa na shinikizo la kumpata Kavanaugh kwa njia zozote.Hiyo ilimnyima Dr Ford haki ya kusikilizwa au madai kufanyiwa uchunguzi wa kina
Kama unasema ''Timelines, evidence/corroboration, the accused afforded due process,'' je kwa Jaji Garland constitutional principles na due process ilikuwepo?
Hahahaaa! Come on man.
Dems [Diane Feinstein] walijua kuhusu hayo madai tokea Julai. Kama kweli hao Dems walikuwa na nia ya kutafuta ukweli basi wange raise hiyo issue tokea kipindi hicho.
Lakini kwa vile nia yao ilikuwa ni kujipatia pointi za kisiasa, wakasubiri hadi dakika za majeruhi.
Kwa hiyo usizungumzie mambo ya haki ya Dr. Ford kusikilizwa halafu ukajisahaulisha kuwa ni Dems ndiyo walikuwa na hizo taarifa lakini wakazibania hadi mwishoni dakika za majeruhi ndo wajaribu bahati yao lakini mbinu yao imebuma.
Si Republicans walikataa kumsikiliza kwa zaidi ya mwaka. Leo wanakuwaje mashujaa wa constitutional principles? Kama ulinisoma jana, kura ya Joe Manchin ilikuwa ya kuzuia ''uharibifu'' kwa upande wake. Yupo katika ballot box midterm na katika himaya ya red state.
Kuhusu Judge Garland, well, GOP walikuwa na kura za kutosha kuzuia/ kuukalia uteuzi wake. Hawakuvunja katiba.
Walitumia uwezo wao wa kikatiba kupata kile walichokitaka. Naamini hata Dems kama wangekuwa na wingi katika senate na wao wangefanya hivyo hivyo tu dhidi ya Kavanaugh.
That's why elections have consequences.
Hesabu za Dems ni kutopoteza maseneta katika midterm. Hivyo kura ya Susan Collins imem 'cover' Manchin in a way
Katika mabandiko #673 nilisema wazi kura ya turufu ipo kwa Murkowisk na Collins.
Laiti Collins angekwenda No, Joe Manchin angepiga No kwa cover kwamba waliomkataa ni GOP
Ninadhani Dems wakubali kuwa kulikuwa na due process kupitia FBI. Hili litawasaidi mbeleni wakati Trump atakapolalamika FBI kuwa bias na kwamba inatumika politically
We'll see.