Duu! Lecturer wa chuo ataga baada ya kupigishwa paper

Duu! Lecturer wa chuo ataga baada ya kupigishwa paper

KYALUMUKUNZA

Senior Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
145
Reaction score
28
jamani ajabu na kweli jamaa alieomba nafasi ya tutorial assistant (lecturer) katika chuo cha mwalimu nyerere memoral academy(MNMA) matokeo yametoka angalieni (PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS) amelamba zeroooooo! kwa lugha nyingine ametaga najiuliza jamaa amemaliza chuo gani na je angemfundisha nani au na wahitimu wa sasa wa vyuo nao wanamaliza vyuo hawajui kusoma na kuandika? naomba kuwakilisha.
 
mbona hiyo kawaida? Wewe kama ulipiga one form six unafikiri tukikurudisha utapiga tena div one? Sioni ajabu .. Kuna utaratibu tu haujafuatwa hapa
 
He he he heeeeee chezea elimu ya bongo wewe!!
 
WEWE na we ni mtoto kufeli si kitu cha kushangaza unajua alikuwa katika hali gani wewe wangekua wanafaulu wote pepa ya nini?jipange na ukue mambo ya kuponda watu hayafai ingekua ni wewe umepondewa ivo ungefurahi?watu wengine sijui wakoje
 
WEWE na we ni mtoto kufeli si kitu cha kushangaza unajua alikuwa katika hali gani wewe wangekua wanafaulu wote pepa ya nini?jipange na ukue mambo ya kuponda watu hayafai ingekua ni wewe umepondewa ivo ungefurahi?watu wengine sijui wakoje

duh,hiyo kwel,inategemea alimaliza chuo miaka ip,na mtihan ulivyokua,kufel ktu cha kawaida,kwani wanaoenda kuchukua phd wote wanafaulu
 
acha ushamba wa kupindukia nimeleta hiyo mada ili watu wachangie point na kuchambua hivi jiuliza kama jamaa amemaliza chuo na anavyeti na GPA KUBWA kiasi kwamba anajisikia kuwa lecturer halafu unapata zero hii ndo inaniletea wasiwasi au alikuwa anahonga na kupitishwa kwenye mitihani ya chuo jamani hata moja tu asiambulie aaaa hapana huyu lazima atakuwa ni kihiyo.
 
Big up kwa huo utaratibu wa ajira wa PSRS
utasaidia sana kupunguza wafanyakazi wasio na uwezo
ambao wanabebwa na ndugu zao kupata ajira!
 
acha ushamba wa kupindukia nimeleta hiyo mada ili watu wachangie point na kuchambua hivi jiuliza kama jamaa amemaliza chuo na anavyeti na GPA KUBWA kiasi kwamba anajisikia kuwa lecturer halafu unapata zero hii ndo inaniletea wasiwasi au alikuwa anahonga na kupitishwa kwenye mitihani ya chuo jamani hata moja tu asiambulie aaaa hapana huyu lazima atakuwa ni kihiyo.
we mtiani wa maisha wenyewe umefeli mbona hakuna aliekucheka ndugu kuwa makini yatakurudia na wewe...kuwa lecturer si sababu ya kufaulu na historia yako si sababu ya kukufanya uwe na ufaulu mzuri JIPANGE
 
we mtiani wa maisha wenyewe umefeli mbona hakuna aliekucheka ndugu kuwa makini yatakurudia na wewe...kuwa lecturer si sababu ya kufaulu na historia yako si sababu ya kukufanya uwe na ufaulu mzuri JIPANGE
ndugu mbona unahamisha mada hapa tunazungumzia elimu wala si kufaulu au kufeli maisha au ndo wewe nini
 
Back
Top Bottom