hiyo sio suluu ya tatizo:A S 13:pole
maana yake anahitaji break
peaneni space kwanza
hiyo sio suluu ya tatizo:A S 13:
Wanajf wenzagu,
yamenikuta usiku huu hapa hata lepe la usingiz sina labda mkinisaidia japo mawazo yenu tu labda nitalala.
shemeji yenu yaan hapo namaanishisha mwenza wangu... yaani nadhan mmenipata. Anasema kuwa kila akiongea na mimi
anazidi kuboreka, au neno lingine ni kuwa mimi namboa kila nikiongea nae, yaani mimi namkera kila nikiongea nae. jamni simuelewi huyu mtu ndo visa tu au kunamwenzagu kamdatisha au vip. nipeni japo mawazo kidogo ili nilale mwenzenu.
Wanajf wenzagu,
yamenikuta usiku huu hapa hata lepe la usingiz sina labda mkinisaidia japo mawazo yenu tu labda nitalala.
shemeji yenu yaan hapo namaanishisha mwenza wangu... yaani nadhan mmenipata. Anasema kuwa kila akiongea na mimi
anazidi kuboreka, au neno lingine ni kuwa mimi namboa kila nikiongea nae, yaani mimi namkera kila nikiongea nae. jamni simuelewi huyu mtu ndo visa tu au kunamwenzagu kamdatisha au vip. nipeni japo mawazo kidogo ili nilale mwenzenu.
]pole
maana yake anahitaji break
peaneni space kwanza
Wanajf wenzagu,
yamenikuta usiku huu hapa hata lepe la usingiz sina labda mkinisaidia japo mawazo yenu tu labda nitalala.
shemeji yenu yaan hapo namaanishisha mwenza wangu... yaani nadhan mmenipata. Anasema kuwa kila akiongea na mimi
anazidi kuboreka, au neno lingine ni kuwa mimi namboa kila nikiongea nae, yaani mimi namkera kila nikiongea nae. jamni simuelewi huyu mtu ndo visa tu au kunamwenzagu kamdatisha au vip. nipeni japo mawazo kidogo ili nilale mwenzenu.
Muombe msamaha kwa kumwambia kuwa haukufahamu kuwa uwepo wako na mazungumzo yako yanamkera then kwa upole na utaratibu muombe akuelezea nini hasa kinachomfanya akuone unamboa. Kisha muombe ushauri wa nini unachotakiwa kufanya ili usim-boe mwenzio.
Pole ni mambo ya kawaida ktk mahusiano