Sisi ni mazuzu na matahira hatuwezi kutumia kwani kila kitu tunatupa chooni hata kiwe na thamani kubwa ni kutukuza ngozi nyeupe kwenda mbele "wawekezaji....wawekezaji......makaburuwawekezaji..........wanyonyajiwawekezaji...........njoonimchukuesisitumelewa........
Njoonikwetunanamchukuekilakitusisitukousingizini...........Si viongozi wala wananchi wote wamelewa gongo/pombe kali la mtaani ni kujisifu kila siku sisi ni masikini na kila siku viongozi wakienda nje wanasisitiza sisi ni masikini na wakiulizwa hivi ni kwanini ni masikini hawajui maana wamelewa maana mlevi hakumbuki kama alilewa lini? ila anakumbuka kuhusu pombe kwisha!