Duuuh!!! Hii Kali Jamani Neno La siky

Duuuh!!! Hii Kali Jamani Neno La siky

safaree13

Senior Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
132
Reaction score
20
Kwa Wale Mnaopenda kupima HIV. kila baada ya Miezi 3 Msikate Tamaah Ipo siku mtafanikiwa kupata mnachokitafuta.. Weekend Njema [emoji12] [emoji13] [emoji14]
 
[emoji12] [emoji14] [emoji14] [emoji14] hukohuko napimwa Baada ya miaka mitatu ... Sitaki presha
 
Inashauriwa sana kwa wale watu wanaotaka kupunguza uzito wa mwili kuwa wanapima HIV mara kwa mara maana ule mda wakusubiria majibu baada ya kutolewa damu watu wengi hupungua kilo 2 so ukipima kila mwezi itakusaidia mno...Hata kama wewe umetulia hakuna mwenye uhakika wa tabia ya patner wake so lazima kijasho kikutoke tu wakati wakusubiri majibu na kilo 2 chap iondoke.
 
Maisha ni mapambano so wataka kujua afya inapambanaje tuanze huduma fastaa si mpk nywele zinyonyokee
 
nitapima kile ambacho nina uwakika watanipatia dawa tu
 
Jumatatu iliyopita nilienda Agha khan kupima HIV.... wala sikuwa na wasi wasi... na majibu yakatoka poa... na ni tabia yangu kupima kila baada ya miezi minne..
 
Back
Top Bottom