Inashauriwa sana kwa wale watu wanaotaka kupunguza uzito wa mwili kuwa wanapima HIV mara kwa mara maana ule mda wakusubiria majibu baada ya kutolewa damu watu wengi hupungua kilo 2 so ukipima kila mwezi itakusaidia mno...Hata kama wewe umetulia hakuna mwenye uhakika wa tabia ya patner wake so lazima kijasho kikutoke tu wakati wakusubiri majibu na kilo 2 chap iondoke.