kimaro trederez
Member
- Jan 4, 2023
- 30
- 20
Jamani nawaomba wahusika DUWASA mtoke hadharani mtuombe radhi, sheria inasema mtu akilipia huduma ya maji ndani ya siku 21 apate huduma.
Sasa mimi naenda mwezi wa pili sasa bila huduma sasa huu si usumbufu kwa wateja!
Sasa mimi naenda mwezi wa pili sasa bila huduma sasa huu si usumbufu kwa wateja!