DOKEZO DUWASA mtuombe radhi, mwezi wa pili sasa bila kuunganishwa huduma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Joined
Jan 4, 2023
Posts
30
Reaction score
20
Jamani nawaomba wahusika DUWASA mtoke hadharani mtuombe radhi, sheria inasema mtu akilipia huduma ya maji ndani ya siku 21 apate huduma.

Sasa mimi naenda mwezi wa pili sasa bila huduma sasa huu si usumbufu kwa wateja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…