DUWASA tusaidie kufanya usambazaji wa maji maeneo ya Mkonze

DUWASA tusaidie kufanya usambazaji wa maji maeneo ya Mkonze

mchorongaji

New Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
4
Reaction score
7
Mamlaka ya Maji ya Dodoma (DUWASA)

Kuna maeneo yapo mjini Dodoma hususani maeneo ninayoishi (MKONZE) mwanzo tulikuwa tukipata maji ila toka mwaka huu umeanza maji hayafiki kabisa kisingizio kuwa pressure ya maji ni ndogo tumejaribu kufuatilia kwenye mamlaka husika wakafanikiwa kuchimba kisima maeneo ya Goba ila kina zaidi ya miezi minne hawajafanya usambazaji wa maji hii inapelekea gharama nyingi sana kwa ununuzi wa maji kwani bajeti ya maji tu yaweza fika hata 200,000 kwa mwezi.

Tunaomba DUWASA itusaidie kufanya usambazaji wa maji maeneo ya Mkonze kama walivyoahidi baada ya uchimbaji wa kisima.
 
Mamlaka ya Maji ya Dodoma (DUWASA)

Kuna maeneo yapo mjini Dodoma hususani maeneo ninayoishi (MKONZE) mwanzo tulikuwa tukipata maji ila toka mwaka huu umeanza maji hayafiki kabisa kisingizio kuwa pressure ya maji ni ndogo tumejaribu kufuatilia kwenye mamlaka husika wakafanikiwa kuchimba kisima maeneo ya Goba ila kina zaidi ya miezi minne hawajafanya usambazaji wa maji hii inapelekea gharama nyingi sana kwa ununuzi wa maji kwani bajeti ya maji tu yaweza fika hata 200,000 kwa mwezi.

Tunaomba DUWASA itusaidie kufanya usambazaji wa maji maeneo ya Mkonze kama walivyoahidi baada ya uchimbaji wa kisima.
Waliochimba kisima ni DUWASA?
 
Duuh,pole homeboy cie chidachi hapa maji uhakika
 
Duuh,pole homeboy cie chidachi hapa maji uhakika
Hongera zenu,sisi Miganga(kata hii hii ya Mkonze) hali si nzuri.DUWASA visingizio vingi hawaelezi vizuri kwanini wametupunguzia siku za maji upande huu tu.
Tunasubiri kudra za Allah.
Mbunge wetu ni Mavunde
 
Back
Top Bottom