Dv 4.19 pcb niende wapi?

kijana acha kutafuta shortcut kwenye maisha..
Ushauri uliopewa na wadau ni mzuri kabisa..Na kama ni kweli unataka SHORTCUT ni bora ukasoma Nursing...(ajira nje nje)..

Ila kama unataka kusoma vitu vya maana na hiyo DIV IV, ni vyema uka-resit..(hii itakusaidia miaka ijayo)..wewe bado ni mdogo, unamuda wa kutosha kujipanga tena na kurudia mitihani..Hakuna mwajiri ambaye anachukua mtu hovyo hovyo..(vinginevyo akupate ajira za wahindi, na mishahara yao ya mawazo)

ALL the best..
 
Reactions: EMT

Mkuu inaonyesha hata kama angefaulu na kusomea udaktari angekuja kudharau watu wengine simply because wao ni wakulima, manesi au hata walimu. Kwa kweli s/he needs to get back to the reality. Kwa qualifications zake, options are very limited. Lakini kama akizingatia ushauri kama wako inaweza kumsadia. The issue is not to make the next move but to make the right move. Kwa maneno mengine it is not about WHAT, HOW, WHY but WHY, HOW, WHAT.
 
dah! Ndugu umetumia maneno magumu kwel, yaan mstar baada mstar umeshindilia msumar wa moto! Tatzo jamaa anakejel, unaomba ushaur, mzur mbaya yote unapokea, unatoa thnx, mwsho una hitimisha mwenyewe.
 

Asante mkuu nimekuelewa unapoint nzuri, mimi nimedhamilia kusoma diploma af niingie degree naona iko sawa au vp. Kingine mimi mwanzoni nilipenda udr lakini matokeo yamenitema na nilikuwa na uhakika wa kufaulu coz hata ukiangalia background yangu nilikuwa fit eg. Form 4 nilipata dv 2 ndo nikachaguliwa advance na nimegundua naweza hata kutumia cheti cha 4 kusoma diploma na i believe nitasonga ili kufikia malengo yangu.
 
Jamani nawashauri mjaribu kupitia matokeo ya resiters pcb mwaka huu mwone, yaani kwa hii kombi ukiresit kutoka ni inshu ndo maana mie naonelea diploma itanifaa af Mungu akijalia nisome degree na kwa swala la unesi, kilimo na ualimu kiukweli hizi field naziheshimu lakini moyo wangu haupo kabisa, na nafikiri mnajua mtu anasoma kitu ambacho hata moyo wake unapenda sasa ukilazimishwa kusoma kitu ambacho hupendi,huwezi na hauafikiani nacho ndo yaleyale unakuja kuboronga kazini. Mawazo yenu yote nayapokea ila na mimi najaribu kuchuja na kuangalia hili litanifaa ili nipate mwafaka. Na nimejaribu kuulizia Ifm nimeambiwa naweza kusoma diploma, ngoja nisome hiyo diploma af degree nitacheki mbeleni.
 

Ungeomba radhi tungekuelewa zaidi....baada ya kuona wadau wamegeuka mbogo ndo unaleta usamaria wako .Big NO
 
hizo dhalau kama huna mawazo ya kujenga afadhali ukaacha hii sijaipenda

hahahaha,duh,..
unaona sasa,watu bado mnahisi unesi sio kazi!
unalipa huo kijana
 
Nimefuatilia naona huyu jamaaa ni msanii tu. anawachora tu hapa. watu watatoa consluntacy wakati hana mpango wowote. na elimu

Ebu tuambie PCB syllabaus ya biology au Kemia od fizikia topic tatu za mwazo form 5 ni zipi?
 
Ebana cheki tumaini ya hapo dsm utafanikiwa,pia huku arusha pre entry ipo makumira,stephano university moshi zote zina pre entry. Mambo ya kushauriana mtu akalime c vema coz hajauliza mambo ya kilimo hapa.
 
Kumbe chuo nitapata ngoja nijipange masuala ya malipo tu.
 
Ebana cheki tumaini ya hapo dsm utafanikiwa,pia huku arusha pre entry ipo makumira,stephano university moshi zote zina pre entry. Mambo ya kushauriana mtu akalime c vema coz hajauliza mambo ya kilimo hapa.

Safi mkuu unaweza kujua ada yao.
 
sio kilamtu njia yake inakua nyoofu wapo ma profesor kibao ambao wamesha wah kuwa na wakati mgumu kimasoma kama huo ulio nao kwahyo usikate tamaa kikubwa angalia nikipi unachotaka kukisoma napia uangalie na uwezo wako pia wakimasomo had ukasoma pcb inamana una pass mark nzur form 4.anza na certficate labda ndio option uliyo nayo kama hutaki ku rudia mtihani kwa pass mark hyo uliyo pata huwez kuanza na Dploma..Tuliza akili jpange upia utafika unapotaka kufika kielimu jitahdi usikurupike
 

Kigogo you have made my day kwa majibu murua, jitu limefeli halafu linatafuta shortcut, nina mashaka kama haza hizo diploma ataweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…