Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
Ok ukimaliza diploma unasoma Aadnaced diploma sio.????? Mimi nimekupa ushauri mzuri we umeona dharau kutoka na PCB yako ungeeda unesi ungeaza kula mshahara mapema alafu ungewezza kujiendelza tena kwa mikopo ya serikali. Kuna sekta ukiwepo unaweza kupata sponsorship hata za nje na hata za serikali. Sekta zenyewe ni elimu na afya. Do u get it.....???????
Ukizuga kwenye ualimu au ukiwa nia ya kusoma unaweza kupata scholarship kirahisi za nchi kama sandnavia. ukakuta from DIV IV to a teacher to degree from scholarship. Lakini ndo hivyo hutaki ualimu hutaki Unesi wakati una DIV IV. may be wewe ni mtoto wa kigogo.
Anyway way wewe mwenyewe ni muamuzi wa maisha yako. Get as may advice as you can lakini mwisho wa siku mwenyewe ndo kuwa muamuzi.
dah! Ndugu umetumia maneno magumu kwel, yaan mstar baada mstar umeshindilia msumar wa moto! Tatzo jamaa anakejel, unaomba ushaur, mzur mbaya yote unapokea, unatoa thnx, mwsho una hitimisha mwenyewe.tatizo lako wewe unataka tukushauri mambo mazuri wakati umefeli...hapa tunakupa live bila chenga..wewe mambo ya kusoma huwezi kwa nini unakuwa mbishi lakini...PCB ulitaka kuwa Dr wa mambo ya wakina mama au? chukua unesi basi...lakini kwa maksi zako hizo wewe mambo ya kilimo ndo yanakufaa sana hasa kilimo cha mboga mboga lima matikiti maji mapera na hata ubuyu una hela sana....viazi pia msimu wa mfungo wa mwezi ramadhani,na pia fuga kuku wa kienyeji maana chipsi zinalika sana na vijana wa shule hasa mabinti ...
Kijana tafadhali acha nyodo. Umeanzisha hii thread kuomba ushauri. Sasa badala ya kutakafari ushauri uliotolewa na watu unawaita great foolish. Hii inaonyesha huna heshima kabisa. Probably ndio maana ulipata hiyo division 4 due to lack of respect. Mtu mwenyewe umejiunga jana halafu unaleta nyodo na division four yako. Unafikiri wanaochangia humu nao walifeli kama wewe? Kuwa na heshima kijana. Enzi zetu ulikuwa ukipata division three form six ni kwenda kulima tuu. Leo una division four bado unazungumzia kwenda kusoma vitu wanavyosoma wenye division one. Kumbuka wengine humu ni waajiri so wanakupa vitu live.
Kwanza kwa nini umepata division four? Kuna sababu zozote za msingi au ulikuwa unacheza tuu shuleni? Kwa nini ulisoma PCB? Ulikuwa na malengo yoyote ya kusoma hiyo combination? Kwa nini sasa unataka kubadilisha na kusoma marketing, procurement na accountancy? Nini kimekusukuma ubadilishe?
Wadau wamekupa options nzuri. Badala ya kuwakashifu is better uchague option ambayo unaona inakufaa. Kama hazikufai ziache hapa hapa, watakuja wengine na tutawaelekeza. Options ilizopewa kulingana na qualifications zako ni pamoja na:
1) Kilimo - siku hizi hata wasomi wameamua kurevert kwenye kilimo. Ni bora ungeuliza kilimo cha aina gani badala ya kudharau kilimo. Unajua kilimo cha miti wewe?
2) Unesi - because inarelate na combination uliyosoma form six. Kuna nchi kibao zina uhaba wa manesi na wanalipa vizuri kweli.
3) Kurudia/resit - hii itakusaidia kutengeza cheti chako na kuomba kozi za juu zaidi
4) Computer certificate
Mimi ningekushauri uresit. Why? Kwa sababu waajiri makini siku hizi wanataka watu wenye excellent track record. Imagine unaomba kazi ukiwa na degree lakini form six ulipata division 4 ya points 19? Unless utakuwa na sababu za msingi za kupata division four, mwajiri makini ataanza kuku-question.
Lakini la msingi heshimu michango ya watu hata kama ni mibaya. This is JF
Jamani nawashauri mjaribu kupitia matokeo ya resiters pcb mwaka huu mwone, yaani kwa hii kombi ukiresit kutoka ni inshu ndo maana mie naonelea diploma itanifaa af Mungu akijalia nisome degree na kwa swala la unesi, kilimo na ualimu kiukweli hizi field naziheshimu lakini moyo wangu haupo kabisa, na nafikiri mnajua mtu anasoma kitu ambacho hata moyo wake unapenda sasa ukilazimishwa kusoma kitu ambacho hupendi,huwezi na hauafikiani nacho ndo yaleyale unakuja kuboronga kazini. Mawazo yenu yote nayapokea ila na mimi najaribu kuchuja na kuangalia hili litanifaa ili nipate mwafaka. Na nimejaribu kuulizia Ifm nimeambiwa naweza kusoma diploma, ngoja nisome hiyo diploma af degree nitacheki mbeleni.
hizo dhalau kama huna mawazo ya kujenga afadhali ukaacha hii sijaipenda
Jishughulishe na Kilimo bado kijana wewe! Naona mambo ya Elimu achana nayo hiyo div 4 ni kielelezo tosha. Ushauri tu!
You are mentally not fit. Namashaka kma kweli umepita shule.
Ebana cheki tumaini ya hapo dsm utafanikiwa,pia huku arusha pre entry ipo makumira,stephano university moshi zote zina pre entry. Mambo ya kushauriana mtu akalime c vema coz hajauliza mambo ya kilimo hapa.
tatizo lako wewe unataka tukushauri mambo mazuri wakati umefeli...hapa tunakupa live bila chenga..wewe mambo ya kusoma huwezi kwa nini unakuwa mbishi lakini...PCB ulitaka kuwa Dr wa mambo ya wakina mama au? chukua unesi basi...lakini kwa maksi zako hizo wewe mambo ya kilimo ndo yanakufaa sana hasa kilimo cha mboga mboga lima matikiti maji mapera na hata ubuyu una hela sana....viazi pia msimu wa mfungo wa mwezi ramadhani,na pia fuga kuku wa kienyeji maana chipsi zinalika sana na vijana wa shule hasa mabinti ...