Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Kuna awamu first lady wa Zenji alikuwa Mchagga πKila uchafu hufanyika Zanzibar kuanzia ushoga, madawa ya kulevya n.k
Hakuna mchaga anaweza kuolewa na watu wavivu hivyoKuna awamu first lady wa Zenji alikuwa Mchagga π
Waulize wenzako hapo Ufipa wanamjua Moshi ilitisha Sana ilitoa first lady Wawili wa Jamhuri na wa ZanzibarHakuna mchaga anaweza kuolewa na watu wavivu hivyo
Mkapa na Sumaye sawa hawa wengine ni uongoWaulize wenzako hapo Ufipa wanamjua Moshi ilitisha Sana ilitoa first lady Wawili wa Jamhuri na wa Zanzibar
Msalimie KomandooKuna awamu first lady wa Zenji alikuwa Mchagga π
Sumaye amewahi Kuwa Rais wa Zanzibar?Mkapa na Sumaye sawa hawa wengine ni uongo
Kwan wa sasa ni kabila ganiKuna awamu first lady wa Zenji alikuwa Mchagga π
Wale majeshi wanaoingiziwa tambi nyuma huko Zenj?Majeshi yetu yako imara na ni kati ya majeshi bora sana duniani.
Wananchi hawapaswi kuwa na wasi wasi. Hao panya road huko Zanzibar watakipata kama walivyokipata wenzao huku Tanzania bara.
Na hakuna mchaga anayeweza kataa kuolewa na mtu mwenye hela.Hakuna mchaga anaweza kuolewa na watu wavivu hivyo
Msukuma πKwan wa sasa ni kabila gani