Elections 2010 Dw radio nayo tarehe 28 october ilisema mpinzani mkuu wa jk ni lipumba!


98% ya Watangazaji wa DW wanatoka Pwani ya Tanzania. What do you expect from them??
 
98% ya Watangazaji wa DW wanatoka Pwani ya Tanzania. What do you expect from them??

Ng'wanangwa hapo simo au kwa vile ni watani wako. katika kuutafuta uhuru toka kwa mkoloni mweusi tunakuwa kitu kimoja. walioko nje hawawezi kutushauri kitu wao yaliwashinda wakakimbia
 
Ng'wanangwa hapo simo au kwa vile ni watani wako. katika kuutafuta uhuru toka kwa mkoloni mweusi tunakuwa kitu kimoja. walioko nje hawawezi kutushauri kitu wao yaliwashinda wakakimbia

Ni kweli ni watani zangu, lakini utani mwingine unapitiliza ....... kivipi mtu aseme Mshindani Mkuu wa JK ni Lipumba(Prof)? Mnyamwezi?

Bora hata angekuwa Msukuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…