DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Dyabala
Jamaa amekwenda na Juve mpaka fainali champion league mwaka jana. Na mwaka huu anakwenda nayo tena mapema basi nusu fainal.
Neymar PSG tayari imeshamshinda, atafute timu iliojaa mastaa aende. Nguvu binafsi za kusukuma timu hasa kwenye Big match hana kabisa.
Neymar ni mchezaji mzuri sema form yake ya msimu huu na ligi alo enda ndio vina mfanya Dyabala aonekane mzuri.
Ila Neymar at his best Dyabala hatii mguu kabsaa
HahahahaDah we jamaa umepotelea wapi? Nikajua umefichwa na watu wasiojulikana....aise kidogo nianzishe thread ya kupotelewa na ndugu yetu..uwe unaaga bwanaa.
Hahaha!!!
Kuna watu bado wanachuki na neymar kisa uhamisho wake uliowaacha midomo wazi.
Neymar mchezaji bora kabisa kwangu..
huu ndiyo ubaya wa kuchambua mpira na viwango vya wachezaji kwa kuangalia matokeo.kaa chini fuatilia mpira unaopigwa uwanjani uwanjani ndiyo uje uchambue ubora wa Neymar na Dybala.Dyabala
Jamaa amekwenda na Juve mpaka fainali champion league mwaka jana. Na mwaka huu anakwenda nayo tena mapema basi nusu fainal.
Neymar PSG tayari imeshamshinda, atafute timu iliojaa mastaa aende. Nguvu binafsi za kusukuma timu hasa kwenye Big match hana kabisa.
huu ndiyo ubaya wa kuchambua mpira na viwango vya wachezaji kwa kuangalia matokeo.kaa chini fuatilia mpira unaopigwa uwanjani uwanjani ndiyo uje uchambue ubora wa Neymar na Dybala.