Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Mziwanda,
Kama ulivyoashiria kwenye mambo ya simu na vibanda; ni kweli viliongezeka na sasa vimepungua kwa kasi kubwa. Ongezeko la watumiaji, ushindani kibiashara na mabadiliko ya teknolojia na kiuchumi zote ni moja ya sababu. Internet cafes nazo zitapungua kama vilivyo vibanda vya simu. Ongezeko la mitandao ya wireless na kupungua kwa bei za computer kutafanya hata vijijini ambako tungetegemea kuwe na cafes nyingi zaidi pale zinapopungua mijini kusiwe, kutokana na mjumuiko wa haya mawili, - wireless networks and hardware affordability.
Hapo awali cafes zilikuwa nyingi hata mijini kutokana na hali halisi kwamba wireless technology ilikuwa bado ndiyo inazindukazinduka. Sometimes teknolojia na matumizi yake huruka vihunzi. Tunakumbuka jinsi vile ilivyokuwa taabu kupata simu za ndani hapa kwetu Bongo, wakati nchi nyingine simu za ndani ndizo zilikuwa asilimia kubwa. Ghafla hizo tuliziruka na kuingia katika simu za mikononi. The natural trend ya ku-acquire teknolojia haikufata mtiririko, na hili la internet cafe laweza kuwa mojawapo.
SteveD.
Hapana Hazitokufa kama unavyofikiri.......kwani people like me na wengine kama majasusi hawapendi kutumia net mahome as wanakuwa vulnarable kuwa traced back.......simu ni rahisi mtu kuitupa endapo wanausalama watakufuatilia ila computa service yake tu kwanza lazima ujulikane...... so any stupid professional who wants to shake other professionals will always want to stay in the darkness where no where to be found.....but computer might be replaced with smartphones in the near future...kama mimi i am using one.
Hapana Hazitokufa kama unavyofikiri.......kwani people like me na wengine kama majasusi hawapendi kutumia net mahome as wanakuwa vulnarable kuwa traced back.......simu ni rahisi mtu kuitupa endapo wanausalama watakufuatilia ila computa service yake tu kwanza lazima ujulikane...... so any stupid professional who wants to shake other professionals will always want to stay in the darkness where no where to be found.....but computer might be replaced with smartphones in the near future...kama mimi i am using one.