Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Kwa miaka zaidi ya 60 (miongo 6/6 decades) familia hizi zimekuwa zikiitawala Kenya Kisiasa na Kiuchumi!
Hawa wote kazi yao ni moja tu, kuiba mali za Wakenya na kucontrol Serikali ili kuhakikisha kuwa mali hizo za wizi wanazoiba zinalindwa!
Jaramogi alikuwa Muasisi wa KANU, Jomo alikuwa Kiongozi wa KANU, Daniel Moi alikuwa Kiongozi wa KANU, Uhuru ni Kiongozi wa KANU, Raila ni KANU B, na Gideon naye ni Kiongozi wa KANU!
Mbinu yao kuu ya kutawala ni kutumia Ukabila,
Wanaigiza kutetea maslahi ya Kikabila na kutengeneza Viongozi kwenye makabila mengine ili kufanikisha azma yao ya kupata akidi ya kuungwa mkono!
Kwa miaka zaidi ya 60 Wakenya wamekuwa mateka na watumwa wa Siasa hizi za Kikabila pasipo kujua ni akina nani waliowaweka Mateka!
Picha hii inawaonesha watekaji wa Taifa la Kenya, wameteka ardhi ya Kenya, Uchumi wa Kenya na Siasa za Kenya!
Kauli maarufu ya Kenya ni "Bora Uhai*
Yaani Wakenya wanaishi kwa kuvuta pumzi tu, maisha yao ni ya Mateso na wamekosa Matumaini,
Kuna tabaka la watu wachache ambao wao hawajui shida, hawajui kulala njaa, hawajui kulipa rent, hawajui kuhusu kero za Matibabu, Usafiri na kero nyinginezo, hawa wanaishi kama wapo Paradiso!
Tabaka lingine ni la Wakenya Milioni 50 ambao hawa wanaishi wakiwa hawaijui kesho yao, hawana uhakika na matibabu, hawana uhakika na mavazi, hawana uhakika na malazi, wanashindwa kusomesha watoto, wanashindwa kumudu gharama za vyakula, hawa ndio ambao wanaendesha Kampeni ya "Lower food prices"
Wanaishi kwa hustling!
Baada ya miaka 60 anatokea mmoja wao anayejua shida zao (Hustler) kuomba nafasi ya Urais, nao wanamuelewa na kumuunga mkono!
Dynasties baada ya kuona huyu Hustler anataka kuwafungua Wakenya toka kwenye Mateka wa hizi familia chache zinazowakandamiza na kuwanyonya nao wanapambana kuhakikisha kuwa Wakenya wanaendelea kuwa watumwa wao!
Wakati wa MUNGU ukifika hakuna wa kuuzuia!
Saa ya Ukombozi kwa Wakenya ni sasa na mwenye Funguo za kuwafungua Wakenya toka kwenye vifungo vya Ukabila ni Mh. William Samoei Ruto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wote kazi yao ni moja tu, kuiba mali za Wakenya na kucontrol Serikali ili kuhakikisha kuwa mali hizo za wizi wanazoiba zinalindwa!
Jaramogi alikuwa Muasisi wa KANU, Jomo alikuwa Kiongozi wa KANU, Daniel Moi alikuwa Kiongozi wa KANU, Uhuru ni Kiongozi wa KANU, Raila ni KANU B, na Gideon naye ni Kiongozi wa KANU!
Mbinu yao kuu ya kutawala ni kutumia Ukabila,
Wanaigiza kutetea maslahi ya Kikabila na kutengeneza Viongozi kwenye makabila mengine ili kufanikisha azma yao ya kupata akidi ya kuungwa mkono!
Kwa miaka zaidi ya 60 Wakenya wamekuwa mateka na watumwa wa Siasa hizi za Kikabila pasipo kujua ni akina nani waliowaweka Mateka!
Picha hii inawaonesha watekaji wa Taifa la Kenya, wameteka ardhi ya Kenya, Uchumi wa Kenya na Siasa za Kenya!
Kauli maarufu ya Kenya ni "Bora Uhai*
Yaani Wakenya wanaishi kwa kuvuta pumzi tu, maisha yao ni ya Mateso na wamekosa Matumaini,
Kuna tabaka la watu wachache ambao wao hawajui shida, hawajui kulala njaa, hawajui kulipa rent, hawajui kuhusu kero za Matibabu, Usafiri na kero nyinginezo, hawa wanaishi kama wapo Paradiso!
Tabaka lingine ni la Wakenya Milioni 50 ambao hawa wanaishi wakiwa hawaijui kesho yao, hawana uhakika na matibabu, hawana uhakika na mavazi, hawana uhakika na malazi, wanashindwa kusomesha watoto, wanashindwa kumudu gharama za vyakula, hawa ndio ambao wanaendesha Kampeni ya "Lower food prices"
Wanaishi kwa hustling!
Baada ya miaka 60 anatokea mmoja wao anayejua shida zao (Hustler) kuomba nafasi ya Urais, nao wanamuelewa na kumuunga mkono!
Dynasties baada ya kuona huyu Hustler anataka kuwafungua Wakenya toka kwenye Mateka wa hizi familia chache zinazowakandamiza na kuwanyonya nao wanapambana kuhakikisha kuwa Wakenya wanaendelea kuwa watumwa wao!
Wakati wa MUNGU ukifika hakuna wa kuuzuia!
Saa ya Ukombozi kwa Wakenya ni sasa na mwenye Funguo za kuwafungua Wakenya toka kwenye vifungo vya Ukabila ni Mh. William Samoei Ruto.
Sent using Jamii Forums mobile app