Some people are blessed!Aisee nilienjoy sana kile kipindi,shangazi alikuwa anatema madini kwa utulivu mkubwa sana.
π€£π€£π€£ hubadilika kama tunavowaona wengi tu sasa waliokuwa wakipigania Katiba mpya inayotokana na rasim ya mzee Warioba.Fatma Karume na Tundu Lissu Mwenyezi azidi kuwabariki, siku wakija kuwa serikalini hawa hakutakuwa na vilaza tena Tanzania. Lazima wahakikishe vichwa vyao vizaliwe kwa wingi
Mfano akina Prof. Kabudi, Polepole, Prof. Kitila Mkumbo, etal.π€£π€£π€£ hubadilika kama tunavowaona wengi tu sasa waliokuwa wakipigania Katiba mpya inayotokana na rasim ya mzee Warioba.
Regardless the outcomes, knowledge will always rule ignorance.....Inategemea mkuu " outcome " yake.
Mm naona sio kuwa blessed tu, bali pia wameandaliwa vizuri kuanzia elimu bora kila kitu ...sasa ukisema blessed hata kiongozi anajiita bajaji na yy pia ni blessed lkn ndio hamna kitu ktk mamlaka ya medula na oblangata maandalizi duni ya elimu mara sijui memkwa sijui u risit kisha udumbukie ktk siasaSome people are blessed!
Si wakati wote mtu anakuwa mjinga mkuu. Ukisikiliza kipindi hicho utawakubali wote wawili yaani mtangazaji na mwanasheria jinsi maswali na majibu yenye mashiko yakiendeshwa.Mjingamjinga tu huyo, Bahati mbaya ni kuwa kazungumza Yale uliyotamani kusikia. Ila huyo bibi hamna kitu humo
Siyo hii πππNimepitia " You Tube " hawajaweka.