KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Itakuwa SWAFI kabisa!Hebu fikiria hapa una GENTAMYCINE , kushoto una Mshana Jr na katikati kakaaa mkaka wa haja, Bujibuji Simba Nyamaume , Simba halisi wa kiume.
Watu wanataka kusikia madini, fanya mabadiliko bro Majizo
[emoji3][emoji3][emoji3]Hebu fikiria hapa una GENTAMYCINE , kushoto una Mshana Jr na katikati kakaaa mkaka wa haja, Bujibuji Simba Nyamaume , Simba halisi wa kiume.
Watu wanataka kusikia madini, fanya mabadiliko bro Majizo
[emoji3][emoji3][emoji3]Itakuwa SWAFI kabisa!
[emoji3][emoji3][emoji3]Mshana ataleta ulozi
Wapinzani hawakosekani kwenye kila jamboKuna utofauti Kati ya uandishi mzuri na uzungumzaji mzuri.
Kuna mtu ni mwandishi lakini si muongeaji/mzungumzaji sauti nzuri ili kuleta ladha kwa wasikilizaji wake
Asante aisee huu mkoromo unaweza ukawa ni wa kuvutiaHebu fikiria hapa una GENTAMYCINE , kushoto una Mshana Jr na katikati kakaaa mkaka wa haja, Bujibuji Simba Nyamaume , Simba halisi wa kiume.
Watu wanataka kusikia madini, fanya mabadiliko bro Majizo
Dadaake mimi si muongeaji hivyo sitawezaMmeula wenzetu, mnaenda kupata ulaji burebure
Sio mwongeaji kwani wewe babu?Dadaake mimi si muongeaji hivyo sitaweza
[emoji3][emoji3][emoji3]Sio mwongeaji kwani wewe babu?