Tazamamtuhuyu
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 277
- 90
Mkuu hauna Soft Copy unipe,?
By the way, hicho kitabu kilipigwa marufuku kwa sababu inasemekana kilikuwa kinaukashifu ukatoliki,
hasa huyo Rosa anafananishwa na Maria mtakatifu,
Pia riwaya hiyo inaakisi maisha ya viongozi wetu wanavotumia madaraka na fedha kuwanyanyasa wasichana...
Ndipo Rungu likapita na kitabu kikapigwa marufuku
Samahan hivi huku chuo mbona kinasomwa? Kimepigwaje marufuku? Au.sijaelewa?
kuna sehemu mwandishi ameandika "NAPATA NEGRO SUCCESS NA MATONDO YA BEYA.
Wadau naomba kuuliza, kwa wale wanaopenda kufuatilia kazi za riwaya za Prof. E. Kezilahabi watakuwa wanafahamu riwaya ya Rosa Mistika. Nimekisoma sana kitabu hiki ila sifahamu ni kwa nini serikali ya Tanzania ilikipiga marufuku kitabu hiki kusomwa. Noambeni maelezo kwa mwenye kufahamu.
Rungu la Mdhibiti vs Uhuru wa mwandishi.Wadau naomba kuuliza, kwa wale wanaopenda kufuatilia kazi za riwaya za Prof. E. Kezilahabi watakuwa wanafahamu riwaya ya Rosa Mistika. Nimekisoma sana kitabu hiki ila sifahamu ni kwa nini serikali ya Tanzania ilikipiga marufuku kitabu hiki kusomwa. Noambeni maelezo kwa mwenye kufahamu.
Hakipo Maktaba ya TaifaNenda makitaba ya Taifa au Tuki au bakita Chuo kikuu
NA kwenye bookshop havipatikani?Vilipigwa chapa kwa typewriter, softcopy mtihani
Negro Success-Band ya Muziki ya Kongo.Maana yake nini hapo anaposema hivyo?
Mistika ni kilatini...kingereza chake ni mystery...(Fumbo)ni kweli kuwa kilipgwa marufuku kwa sababu mistika ina maana ya mtakatifu kwa wakatoliki na Rosa Mistika wa kwenye ktabu cha E.Kezelahabi amefananisha na Bikira Mariamu (anaeshmika sana kwa wakatoliki) lakn anafanya vtendo viovu tofauti na bikira Mariamu hvyo ilikuwa kama kudharirisha na kumdhihaki Mariamu na kanisa la wakatoriki ndo maana kikapgwa marufuku!
naunga mkono hoja!
Wadau naomba kuuliza, kwa wale wanaopenda kufuatilia kazi za riwaya za Prof. E. Kezilahabi watakuwa wanafahamu riwaya ya Rosa Mistika. Nimekisoma sana kitabu hiki ila sifahamu ni kwa nini serikali ya Tanzania ilikipiga marufuku kitabu hiki kusomwa. Noambeni maelezo kwa mwenye kufahamu.
kitabu hiki mie nimekisoma miaka 1984 nilikipenda mno na nahitaji kukipata hata leo,hardcopy naweza kupata wapi?
mkuu unanipa mzuka sijui nitakipata wapiDah, umenikumbusha mbali: Vere tu Rosa Mistika es, hominess intarogable (sina hakika kama nimepatia spelling), yakimaanisha, 'kweli wewe ni Ua Waridi lenye Fumbo, nitawauliza watu', ni maneno ninayoyakumbuka hadi leo ingawa nilikisoma mwaka 1988 nikiwa bado mdogo, brother wangu alikuja nacho home...