Huyo unayemtumia anatumia email service gani?
Cheki kama unakosea email address, labda zinaenda kwa mtu mwengine.
Email zako zinakataa kwa watu wote au huyo mmoja tu? Na yeye anapata email za watu wengine?
Mwambie acheki blocked email addresses upande wake, labda email yako iko kwenye blocked list.