E-sports EFM : Kipa wa mbrazil wa Simba sc hana sifa ya kucheza ligi kuu ya Tanzania, kuhusu majeraha ni kuzuga tu.

E-sports EFM : Kipa wa mbrazil wa Simba sc hana sifa ya kucheza ligi kuu ya Tanzania, kuhusu majeraha ni kuzuga tu.

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kama alikua Hana sifa Nani aliyemleta Tanzania na kumsainisha mkataba kuwa Simba sc?

Nini majukumu ya head of scouting au ilikuwa ni zuga/njia nyingine ya kupiga hela?

NALIA NGWENA nilipoona afsa habari wa Simba sc Ahmedy Ally akisema kuwa "tumemchukua mchezaji wao pale airport"

Akili kubwa niligundua tu kuwa "head of scouting" ilikua ni zuga/mfanyakazi hewa asiyekua na kazi lakini timu bado inaongozwa kiswahili Swahili.

Uongozi umemtazama kipa mbrazil mazoezini wakaona hapa hakuna kitu tumepigwa na wakaamua kuzusha kuwa ana jeraha kaumia mazoezini.

Ukweli ni kwamba Hana sifa/ubora wa kucheza ligi kuu ya Tanzania.

Nawasilisha hoja.
1690727737628.jpg
 
Kama alikua Hana sifa Nani aliyemleta Tanzania na kumsainisha mkataba kuwa Simba sc?

Nini majukumu ya head of scouting au ilikua ni zuga/njia nyingine ya kupiga hela?

NALIA NGWENA nilipoona afsa habari wa Simba sc Ahmedy Ally akisema kuwa "tumemchukua mchezaji wao pale airport"

Akili kubwa niligundua tu kuwa "head of scouting" ilikua ni zuga/mfanyakazi hewa asiyekua na kazi lakini timu bado inaongozwa kiswahili Swahili.

Uongozi umemtazama kipa mbrazil mazoezini wakaona hapa hakuna kitu tumepigwa na wakaamua kuzusha kuwa ana jeraha kaumia mazoezini.

Ukweli ni kwamba Hana sifa/ubora wa kucheza ligi kuu ya Tanzania.

Nawasilisha hoja.View attachment 2703185
Mlima matikiti na mpwa wa Robertinho.
 
Uyo waliye pola Airport watajuta, trip shamba trip gereji.
Nawe unaamini mtu na akili zako unaweza kuporwa airport?

Kwa mtu ambaye hajawahi kusafiri wala kutokea Mgeni ndio unaweza kumueleza ujinga huu.

Hivi agent aongee na timu A halafu mchezaji aende timu B hizi ni hadithi za kwenye kahawa.
 
Ni rahisi sana. Simba wanazungumza na Kitayose. Jefferson anasajiliwa Kitayose, halafu Simba inamchukua kutoka Kitayose kwa mkopo
 
Nawe unaamini mtu na akili zako unaweza kuporwa airport?

Kwa mtu ambaye hajawahi kusafiri wala kutokea Mgeni ndio unaweza kumueleza ujinga huu.

Hivi agent aongee na timu A halafu mchezaji aende timu B hizi ni hadithi za kwenye kahawa.
Najaribu ku soma baadhi ya maoni na id za watu humu, nagundua kuna tatizo kubwa
 
Kama alikua Hana sifa Nani aliyemleta Tanzania na kumsainisha mkataba kuwa Simba sc?

Nini majukumu ya head of scouting au ilikuwa ni zuga/njia nyingine ya kupiga hela?

NALIA NGWENA nilipoona afsa habari wa Simba sc Ahmedy Ally akisema kuwa "tumemchukua mchezaji wao pale airport"

Akili kubwa niligundua tu kuwa "head of scouting" ilikua ni zuga/mfanyakazi hewa asiyekua na kazi lakini timu bado inaongozwa kiswahili Swahili.

Uongozi umemtazama kipa mbrazil mazoezini wakaona hapa hakuna kitu tumepigwa na wakaamua kuzusha kuwa ana jeraha kaumia mazoezini.

Ukweli ni kwamba Hana sifa/ubora wa kucheza ligi kuu ya Tanzania.

Nawasilisha hoja.View attachment 2703185
😃😃 Wahuni ni watu wabad sana. Kwa aina hii ya uhuni, mwekezaji yuko sahihi kabisa kukata tamaa.
 
Back
Top Bottom