simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Niliwahi kushauri kuhusu Electronic voting...itachukua miaka 100 kua applicable africa! ... Watawala hawajiamini hivyo kuruhusu mfumo huu ni kujizika mwenyewe!
Sure. Yaani mnaibiwa kimya kimya kwa kutumia 'simple piece of code'. E-voting inatakiwa itumike kurahisisha zoezi la upigaji kura na kutoa matokeo mapema. Si suluhisho la wizi wa kura.Mh!.. E-voting ndo tutalia zaidi!