EA Radio:"JCB tunampa Msela [Joshua Nassari] Big Up!!!"Hiki ndio Kizazi Kipya

EA Radio:"JCB tunampa Msela [Joshua Nassari] Big Up!!!"Hiki ndio Kizazi Kipya

DSN

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
2,837
Reaction score
1,679
Leo nilikuwa nasikiliza kipindi East Africa Radio ambacho kinaendeshwa na Misago,alikuwa anafanya mahojiano na Msanii maaarufu kanda za kaskazini JCB,kuwa anaionaje hali ya Arusha na maswala mazima ya uchaguzi na maendeleo yake.Katika kuonyesha kweli tulipofika ni zama nyingine JCB alisema hali ni shwari baada ya uchaguzi na kuwa wanampongeza Msela [akimaanisha Joshua Nasari].

Hakika nilichokiona ni picha tofauti sana ambayo imezaa kuwa tuko zama za kizazi kipya na kina lugha yake ambayo Joshua Nasari anaijua na kuiongea yeye na vijana wenzie yani mpaka JCB anajisahau huyo anamwita MSELA [ni mheshimiwa mtarajiwa]. Ama kweli hizi ni zama nyingine kabisa na kila zama na vitabu vyake.
 
kama ni msela atabakia kuwa msela tu .'msela ni msela mbunge/muheshimiwa jina'
 
JCB-JESUS COME BACK huyu msanii ni wa miaka mingi sana lakini kutokana na mafisadi kama clouds fm amejikuta hapewi fursa...hongera nasari aka dogo janja
 
huu umungu wanaotafuta viongozi wetu ndo unaowafanya wakifika majimboni wanaishia kwenye magari na kutoa mikono tu baada ya hapo uchaguzi ujao inakuwa shughuli.
 
Back
Top Bottom