Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
EAMWS ISINGEPIGWA MARUFUKU HAYA YASINGEWEZEKANA
Laiti EAMWS isingepigwa marufuku na serikali mwaka wa 1968 kuwa ni jumuiya haramu na Chuo Kikuu kikajengwa hayo utakayosoma hapo chini yasingewezekana kutokea wala kuwapo.
Mizani ingekuwa sawasawa baina ya waumini wa pande zote mbili.
Allah atawalipa kwa nia zao wazee wetu waliounda EAMWS na kuweka mipango mizuri ya elimu.
Kuwa hawakufanikiwa sisi leo hatuna kinyongo na wao.
Siku zote tutawakumbuka kwa dua njema.
Laiti EAMWS isingepigwa marufuku na serikali mwaka wa 1968 kuwa ni jumuiya haramu na Chuo Kikuu kikajengwa hayo utakayosoma hapo chini yasingewezekana kutokea wala kuwapo.
Mizani ingekuwa sawasawa baina ya waumini wa pande zote mbili.
Allah atawalipa kwa nia zao wazee wetu waliounda EAMWS na kuweka mipango mizuri ya elimu.
Kuwa hawakufanikiwa sisi leo hatuna kinyongo na wao.
Siku zote tutawakumbuka kwa dua njema.