Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Rekebisho dogo Ikulu ni neno la kinyamwezi makao makuu anapoishi mtemi Si wagogo na hata mfumo unaotumiwa ni kama huo ndio maana kuna Mnilkulu ambalo pia ni neno la kinyamwezi mtu anayeangalia mambo ya ikuluIkumbukwe neno Ikulu linatokana na meno la Kigogo lilipitishwa na kuingizwa kwenye kiswahiliVs
Rekebisho dogo Ikulu ni neno la kinyamwezi makao makuu anapoishi mtemi Si wagogo na hata mfumo unaotumiwa nikama huo ndio maana kuna Mnilkulu amabalo pia ni neno la kinyawezi mtu anayeangalia mambo ya ikulu
shukrani sana nimeisoma na nimeielewa nadhani wanaojua historia zaidi yetu waweza kujua zaidi mwingiliano wa haya makabila na chanzo cha utani wao, ninavyojua kiasi hata jina la wagogo walipewa na wasukuma/wanyamwezi walikuwa wakiwashambulia misafara yao wakielekea pwani wakiwa wamejificha kwenye magogoThe ‘forgotten’ Chief who made Nyerere fall in love with Dodoma
There is an old Egyptian proverb which says, ‘Once you drink from the Nile you are destined to return’. It describes the ‘inevitable bond’ between Cairo and anyone who’s ever stepped foot there. Thewww.thecitizen.co.tz