Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni military radar, ila ndiyo iliyokua inatumika katika kutusaidia kuongoza hizi ndege za kiraia kwa kipindi chote hicho, sasa hizi ni radar za ndege za kiraia.Ile rada ya Chenge imesha expiry?maana tuliambiwa ndiyo bora kuliko zote afrika 40bn zikayeyuka
Tuwafikie mpo wapiMtakimbizana na Kenya ila hamtawahi kutufikia Ng'ooooo. Ukiumwa na hilo mwaga povu hadi uzi ufikie ule wa Mombasa vs Dar es salaam mwanze kulilia mod eti wakenya wanaidhalilisha Dar.
Aisee, hata Kilimanjaro haitowi puvu hivi.Mtakimbizana na Kenya ila hamtawahi kutufikia Ng'ooooo. Ukiumwa na hilo mwaga povu hadi uzi ufikie ule wa Mombasa vs Dar es salaam mwanze kulilia mod eti wakenya wanaidhalilisha Dar.
Wapenzi watazamaji na wasikilizaji ninawaletea mfululizo wa maendeleo ya uimikwaji wa rada nne za kisasa katika anga la Easy Africa. Hii ni kutoka Tanzania pekee.
View attachment 908302
Yaani radar za Kenya ndio zimekuwa zikilinda anga ya nchi yao miaka hiyo yote, sasa hivi hii 2018 ndio wanajipiga vifua kwasababu wamepata zao. Hahaa! [emoji1]Wacha kusema "hii ni kutoka Tanzania pekee" umesahau sisi ndio tunaowalinda? Bila sisi mgekuwa mumeshambuliwa tayari
Lizuzu utalijua tu,nyie mlikuwa mnalinda upande wa kaskazini tu wa Tz *kilimanjaro*,sisi radar zetu zitamulika na kulinda EAC nzimaYaani radar za Kenya ndio zimekuwa zikilinda anga ya nchi yao miaka hiyo yote, sasa hivi hii 2018 ndio wanajipiga vifua kwasababu wamepata zao. Hahaa! [emoji1]
Tumeshambuliwa na nani!Wacha kusema "hii ni kutoka Tanzania pekee" umesahau sisi ndio tunaowalinda? Bila sisi mgekuwa mumeshambuliwa tayari
Mtakimbizana na Kenya ila hamtawahi kutufikia Ng'ooooo. Ukiumwa na hilo mwaga povu hadi uzi ufikie ule wa Mombasa vs Dar es salaam mwanze kulilia mod eti wakenya wanaidhalilisha Dar.
Hahaha! [emoji1] Sisemi kitu. [emoji40]Lizuzu utalijua tu,nyie mlikuwa mnalinda upande wa kaskazini tu wa Tz *kilimanjaro*,sisi radar zetu zitamulika na kulinda EAC nzima
Sisi tuna rada zetu. Hamjachukua East Africa, mmechukua tu Tanzania. Mumetuchosha, tulikuwa tunafanya kazi ngumu ya kulinda jirani asiyekuwa na uwezoTumeshambuliwa na nani!
Rada ilikuwepo Yajeshi au za jeshi
ispokuwa nikwamba Tanzania nikubwa uwwzo wake haukuweza kuchukua eneo lote la Tanzania
Sasa tumeamua kuchukua sio eneo lote la Tanzania bari East Africa nzima
Halafu wanaturingia sisi ilhali walikuwa wanatutegemea sisi kuwajuza ikiwa adui ameingia angani mwao. Asante ya punda ni mateke. Badala ya wao kutuambia asante, wanakuja humu kuturingia. Dunia ina mambo.Yaani radar za Kenya ndio zimekuwa zikilinda anga ya nchi yao miaka hiyo yote, sasa hivi hii 2018 ndio wanajipiga vifua kwasababu wamepata zao. Hahaa! [emoji1]
Huwez kusema kitu kwasababu huu ni ukwel na utabak kuwa ukweli kila nyani wakenya lazima atambue hilo radar zetu zita monitor air space ya EAC yote Aluta continual vivaaaaaaa Tanzania .Hahaha! [emoji1] Sisemi kitu. [emoji40]
Sidhani kama suala la maendeleo ni la mashindano. Yes wanasimika rada nne lakin sidhani ninkwa ajili ya kushindana na kenya.Mtakimbizana na Kenya ila hamtawahi kutufikia Ng'ooooo. Ukiumwa na hilo mwaga povu hadi uzi ufikie ule wa Mombasa vs Dar es salaam mwanze kulilia mod eti wakenya wanaidhalilisha Dar.
[emoji40][emoji40][emoji40] 🙄 [emoji1]Huwez kusema kitu kwasababu huu ni ukwel na utabak kuwa ukweli kila nyani wakenya lazima atambue hilo radar zetu zita monitor air space ya EAC yote Aluta continual vivaaaaaaa Tanzania .
naona unafahamu tanzagiza inapumulia mashine! yaani, the struggle continue.Aluta continual.