East africa talents distribution

East africa talents distribution

Nani katoa nyimbo ya matusi tena.
Halafu mpunguze porno kwenye nyimbo zenu za Kibongo, imekua aibu kuziskliza maeneo yenye watu wa heshima au mbele ya watoto, nyimbo zimejaa maneno ya kikashfa.....
 
Comedy hamna mpinzani, long distance running hizo hata buza huku tupo vizuri.
Here in Kenya, we're way too diverse that our East African peers. Talk of rugby, women volleyball, long distance running etc.
 
Halafu mpunguze porno kwenye nyimbo zenu za Kibongo, imekua aibu kuziskliza maeneo yenye watu wa heshima au mbele ya watoto, nyimbo zimejaa maneno ya kikashfa.....
Hapo kabla kabla ya kutoa wimbo wako ni lazima upitie BASATA ukahakikiwe...siku hizi ni short cut mpaka wimbo uwe viral mitaani ndio bashata (barshutter)waje kukufungia
 
Nyie nani anafuatilia kina series ...Yule dada Sanaa Tande Anajua sana
 
Halafu mpunguze porno kwenye nyimbo zenu za Kibongo, imekua aibu kuziskliza maeneo yenye watu wa heshima au mbele ya watoto, nyimbo zimejaa maneno ya kikashfa.....
Ni Kweli nyimbo za kibongo zina porno sana, ila kwa porno ninyi hatuwaezi. Sema tu wasanii wenu waimba porno hawasikiki ( hawahit )
 
Hakika vijana wamezidi kutoa pumba sahv
Yaani tu... jana mchana tulikua tunakula sebuleni halafu kwenye laptop nimeachia nyimbo za YouTube zinacheza moja baada ya nyingine, ghafla ukaja wimbo wa Harmonize na Nandy unaoitwa "acha lizame", ilibidi nizime kabisa maana sio kwa yale maneno..."Usiku nipe shoti ama nishike magoti" "Maana raha ya kuingiza ujue inapotokea Acha lizame!" "Kutwa nadindinsha mkonga"
 
Comedy hamna mpinzani, long distance running hizo hata buza huku tupo vizuri.

Long distance??? Hebu leta matokeo ya marathon iliyofanyika juzi kwenu huko Kilimanjaro, Wakenya wachache ambao walijitoa mhanga na kuja bila kuogopa corona, lazima walifanya yao.
 
Back
Top Bottom