Amekwambia kuna nchi east africa zina deni of 2b usd hakusema tanzania ndio ina deni hilo kama hujui kiswahili sema ufahamishweππYou're very stupid Joto. Yani utamkana hadi mamako mzazi. Very useless.
Heh! Ni mambo ya ndoa tena?Hahahahahahahahaha, Kama kawaida yenu kupika data. OK ni sawa Tanzania inadaiwa kuliko Kenya, hatutaki kuwasambazia madeni yetu, kila mtu abaki kwake na pesa yake na madeni yake, tuone nani atakaye fungishwa ndoa na mchina.
External pia. Sababu you need to repay in foreign currencyH
Hajui internal debt ina effect kiuchumi kuliko external debt. Serikali inakopa pesa zake yenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Banks zinafanya biashara na Serikali. Engineer wa breaks[emoji23][emoji23]
External effect yake ipo katika financial pekee, yaani kulipa pesa nyingi kwasababu kwanza unalipa kwa kutumia foreign currency, pia kwasababu unalipa kwa interest, lakini uzuri wake kama hujapata pesa ya kulipa unaweza ukaomba uongezewe muda zaidi hadi utakapo pata uwezo wa kulipa.External pia. Sababu you need to repay in foreign currency
Ofcourse we will use kenyan shillings
Ukiona mtu akifurahia internal borrowing tena kwa foreign currency, Jua huyo ni kichaa..External effect yake ipo katika financial pekee, yaani kulipa pesa nyingi kwasababu kwanza unalipa kwa kutumia foreign currency, pia kwasababu unalipa kwa interest, lakini uzuri wake kama hujapata pesa ya kulipa unaweza ukaomba uongezewe muda zaidi hadi utakapo pata uwezo wa kulipa.
Internal debts ni kama matumizi ya nyumbani, lazima ulipie bills everyday, week and months, usipolipia maji, umeme vinakatwa, huwezi pata chakula, na mtoto anafukuzwa shule.
Umepanic nyakooππππKilaza ichoboy anaelewa chochote hapa kweli? Bwana Twitter
Kunywa majiYou're very stupid Joto. Yani utamkana hadi mamako mzazi. Very useless.