East Africa's Capital, Nairobi City : photo gallery

nairobi
 

Attachments

  • kemo.jpg
    95.4 KB · Views: 34
  • kim.jpg
    66.3 KB · Views: 32
Hamna lolote huku zaidi ya kutumia ujinga wa watanzania kujinufaisha wao na familia zao. Tanzania imejaa unafiki na ignorance.
Mnafiki ww ambaye ulizoea kupiga dili sasa unaisoma namba
 
Kwani umelazmishwa kukaa Bongo kwa wajanja? Hama rudi kwnu kwnye ukabila na najua huwez maana ardhi tupu kumiliki ni shida!! Samak kasoro matamvua ww



~Cmb
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sikia dada Eva sio kila mtu ni mpiga dili... Halafu mtoto mzuri kama wewe Lumumba unatafuta nini.!?!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli govi linapunguza uwezo wa kufikiri mbuguma wewe !!!!
 
Ni wazi wanatuzidi karibia kila kitu lkn ningekushauri usome history ya Tanzania kipindi cha ukoloni na wakati tunapata Uhuru alafu ulinganishe na Ndugu zetu wakenya utagundua kuwa tumefanya kitu fulani.
 
My brother alifika Kenya nairobi alisema ni pazuri ....why not me ntakuja kuuona huo utamu wenu lazima member mmoja a jf tumeet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…