East Africa's Tallest Towers (Complete and Under Construction)


 

Attachments

  • maxresdefault.jpg
    133.4 KB · Views: 30
ubaya kuwa mbuzi.. akili ni ndogo sana
 
You've given a very good example. How comes Carlton Centre (50 floors) is taller than Ponte City Apartment (55 floors)? It only shows that you don't know what you are talking about
 
kenya mnachekesha sana, hivi raila ni raisi wa wananchi sio ? akili zake anazijua mwenyewe
Sasa Raila na Tanzania kuwa ldc zina huhusiano upi? Ama Raila ndo alichangia Tanzania kuwa nchi ldc? Una mawazo ya kishenzi sana
 
The war of skyscrappers? Kenyans are fighting a losing battle over Tanzanians!

The SGR war? Kenyans are waging a failed war with Tanzanians...
Can you back up your statement please? What's the tallest building in Tanzania complete and under construction to compare with the same ones from Kenya.
 
Awamu Hii Sidhani Kama Tutaona Majengo Marefu Yakijemgwa Bongo, Maana Matajiri Hawa Hamu Na Hii Awamu, Ukijenga Tu Utaulizwa Hela Umetoa Wapi.
Acha Kenya Watunyooshe Tu
Hakuna Namna Ingine.
Hayo majengo marefu mbona ni ya Serikali ni lipi hapo la hao matajiri wako?
 
Hayo majengo marefu mbona ni ya Serikali ni lipi hapo la hao matajiri wako?
Kweli mkuu... ila siyo ya serikali niya mifuko mbali mbali ya hifadhi ya jamii. Pesa zinazotumika niza wanachama siyo za serikali. Mimi nazani its more safe tukisema hayo majengo ni ya members wa hiyo mifuko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…