East Air Force - Sukhoi and Mikoyan

It is only Egypt army in Africa which have F -16, you wanted to by used from Jordan by deal went wrong because you went bankrupt, show evidence if your old F-5 underwent upgrading, you know nothing even about your own country.
Why dont you first show us evidence that they have not been upgraded ?......You are just a regular Tanzanian civilian and know nothing about Kenya army or you do is thinking that you know much.
 
Hzo f16 nakumbuka walikuwa kwenye maonyesho na si kwamba ni f16 za Kenya
 
Why dont you first show us evidence that they have not been upgraded ?......You are just a regular Tanzanian civilian and know nothing about Kenya army or you do is thinking that you know much.
Hahahaha, wewe kichaa kweli, hivi ukisema umefanya jambo Fulani na mtu akabisha akakuomba uonyeshe ushahidi kuthibitisha kama unalosema ni ukweli, wewe utathibitisha au utamuambia thibitisha kwamba sijafanya?, hivi kwanini huwa mnakasirika tunaposema ninyi wakenya hamna akili kama unaweza kunitaka ni prove hamja upgrade hivyo videge vyenu?
 
Hizi ni zile za Tanganyika 2018

Tanzanian Air Force

I had landed in Dar es Salaam airport and was busy refueling the plane when I heard a screaming noise, high pitched, and coming quite fast. Planes are supposed to taxi at a brisk pace according to the book…well this one was running fast. A Mig 19 from the Tanzanian Air Force, or should I say a Shenyang J6 made in China under license. Early 50’s technology but supersonic though. One had taken off just before me landing, did a long turn and zoomed above the airport. Funny enough, the military pilots used a special frequency to talk with the controller and we have to rely on him to pass on the information, which I hate. In bad weather I’d be scared.

 
usifananishe vita ya vietnam na mmarekani kwa tz na kenya kama itatokea,Tz haijawahi kufeli kufeli ktk oparesheni zake nyie pambaneni na hao wavaa pedo wanaosababisha mkose usingizi kila siku.
 
This is definite proof wewe si Mkenya. Huwezi kuwa unataka Kenya ishindwe vita ilhali eti wewe ni Mkenya na tukishindwa vita maisha yako itakuwa hatarini.
Wabongo hatuna shida na mtu cha msingi kuheshimiana tu wala hatuna muda wa kuulizana ww kabila gani, uwezo wa kuwapiga upo tu halafu tutawahifadhi wala hatuwaulizi kwenu mtarudi lini tuna mavichaka kibao ya kuwahifadhi.
 
Helicopter vs Mig-29, huu sasa ni undezi.
Why are you shifting the goal post?...I was replying to some idiotic post that kenya does not operate attack helicopters.
You only operate mig 21s which have been proven inferior to F 5Es .You don't operate mig 29s
 
Why are you shifting the goal post?...I was replying to some idiotic post that kenya does not operate attack helicopters.
You only operate mig 21s which have been proven inferior to F 5Es .You don't operate mig 29s

Very true, the encounter between F5 and mig21 in the Ogaden Battle between Somalia and Ethiopia proved so..
Which is Better, the F-5E Tiger II or the MiG-21?

"Post-war analysis by all involved parties was clear. Not only that the F-5E proved superior to the MiG-21 — not in speed, but certainly in maneuverability at low and medium altitudes, and in terms of endurance and weaponry. "
 
Why are you shifting the goal post?...I was replying to some idiotic post that kenya does not operate attack helicopters.
You only operate mig 21s which have been proven inferior to F 5Es .You don't operate mig 29s
Hahahaha, sisi tunatumia J-7, maximum speed 2200Km/hr, zinauwezo wa kubeba lesser guided missiles, manufactured 2014, long range (3000Km)

F-5 Manufactured 1980s, Maximum speed 1700Km/hr, can't carry and use lesser guided missile, very short range(below 2000 km)
 
Tz haina mig -29 ila walipewa ofa na Russia ya kuuziwa hizo mig kwa bei kiduchu saana bt tz wakagoma walidai hawana tishio lolote lkn wamepeleka tu pilot kusomea hizo jet nadhan likitokea tishio wanaweza kuzinunua
Hivi Tpdf imeanza lini kutumia mig-29 au ndo mabadiliko? Maana mie nachojua tuna mig-21 pamoja na j-7 za kichina

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
USA hatoingilia kijeshi vita ya TZ na KE kama ikitokea. Kikubwa atakachofanya ni kujaribu kuwapatanisha na kumuuzia silaha mkenya kumtia umaskini na kwenye madeni ili amnyonye vizuri kwenye resilimali zake. usifikiri kuwa na base hapo KE ndio maanake atadefend KE.

Kule Congo kuna wa UN, wanalinda rasilimali na kuzipeleka kwa mabeberu na raia wanaendelea kuuliwa.
 
Rubbish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UN haina jeshi rasmi ila wanatumia wanajeshi kutoka nchi wanachama Kwa hivyo mtanzania ambaye yupo kwenye jeshi la UN hawezi akaiba madini akayapeleka marekani , jaribu uwe mkweli kiasi Kwa kile ukisemacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwnye hizo ndege za F5 za Kenya maximum speed no 1060 m/h

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tz haina ndege za kivita labda zile wa world war 1 na hazifanyi kazi, joto la jiwe picha za ndege hafifu za jwtz(rag tag army)?
Najua na kila mtu mwenye akili timamu anajua hakuna ushahidi tosha kuwa mna modern jet fighters...bure kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…