East Air Force - Sukhoi and Mikoyan

Yes wamekosea. And Nikwambie upgrade zilizofanyika india ni kwa ajili ya jeshi la anga la india tu. Mig-29K na Mig -29KUB.
Yaani wewe unajua kuliko TPDF wenyewe!?
mig-29 zilishanunuliwa zama mno tangu JK akiwa waziri.
Jaribu kupitia hapa
MiG Flies to Africa
Halafu ukumbuke USA alitaka kuiwekea vikwazo TZ kwa sababu inashirikiana na NK kukarabati na upgrade ya ndege vita na SAMs.
 
Ndio kitu nawaelezea hawa kuwa tpdf wamefanya makosa kwenye website yao. Hii ndege beleong to india military sio jwtz.
 
to me mig29 ni the best !!!
by the way iyo mig unauwezo wa kufika Armstrong limit "kama sjakosea [emoji774] yani inapita juu sana
pia inarada nzuri sana
natamani watu waijue mig29 as i know
Ungecheki su -30 ambayo kwakweli ni long range fighter si kama mig-29 ni nzuri lakin for short range.
 
Hahaha mr.anaeli. hata link yenyewe inasema hakuna su-35.
Latest fighter ni Mig-21MF ndio tunayomiliki.
Nimekuambia jifunze kutumia mitandao kijana. Wikipedia is a public free media. Kila mmoja anaweza kuweka taarifa zake na wengine wakafanya modifications.
Ndiyo maana hakuna hata mmoja anaye support upuuzi wako huu. Iwe mkenya au mtanzania wanakuona wewe ni ignorant.
 
Kama mlivyo inajisi Uganda kwenye kisiwa cha migingo
Kenya is not interested in a war over that rock, Museveni wants a showdown but will not get it, Uganda has sent soldiers there but Kenya sent some administration police to patrol it..that tells you how less critical we treat issues of that rock.
 
Tz tumenunua lini mig-29?
 
Ungecheki su -30 ambayo kwakweli ni long range fighter si kama mig-29 ni nzuri lakin for short range.
We jamaa. Unajifanya mjuaji mjuaji kumbe hewa tu. Hizo fighter jets kila moja inafanya kazi yake. Ndiyo maana majeshi yenye nguvu yananunua zote kwa pamoja. mikoyan are interceptor jets while Su-30 bombing jets. Kwa kugha rahisi kabisa sijui utaelewa!?
 
Yeah otherwise wasingeweka mig-29 yenye logo ya india? Mwaka 2013 tanzania ili receive J-7G au unaweza ita Mig-21MF kutoka china.
Zilikuwa ziko 14. Hizi ni upgraded lakin si mig -29.
 
Wikipedia hawaruhsu watu kufanya modification ya habari zake.
Espicially from outside. Huwezi ku gain access from darabase zao unless uwe na special authorization.

Hakuna anaeweza kufanya modification labda wikipedia wenyewe. But not form outside
 
Yeah otherwise wasingeweka mig-29 yenye logo ya india? Mwaka 2013 tanzania ili receive J-7G au unaweza ita Mig-21MF kutoka china.
Zilikuwa ziko 14. Hizi ni upgraded lakin si mig -29.
Tanzania does not have Mig-29,as much as you want to say you have classified info, the purchase of jets is not even secret in nations like India, Usa etc..sembuse TZ, Ug just bought 6 Su-30MK2 kila mtu akajua, kwani nyinyi mlipitisha wapi?
 
Yeah otherwise wasingeweka mig-29 yenye logo ya india? Mwaka 2013 tanzania ili receive J-7G au unaweza ita Mig-21MF kutoka china.
Zilikuwa ziko 14. Hizi ni upgraded lakin si mig -29.
Hivi unazijua silaha zote za TPDF!?
Hivi unajua TPDF ipo na SA-27 na SA-30!? lakini huwezi kukuta popote!?
Ukila na wakubwa usiwaguse mkono. Ingekuwa TPDF ni rahisi rahisi tu Malawi na maboss wao wangechukua ziwa nyasa. Kama unakumbuka rais wa malawi wakati ule mama Banda alikuja kumpigia magoti JK baada ya kujua akiendelea atachapwa.
 
Mm nakupa reality check bro. Tatizo hufuatilii mambo. Su -30 is not a bomber. Ni fighter.
Sema inauwezo wa kufanya multirole missions pia.

Yes mig-29 ni interceptor which sijakataa pia. Nimependekeza tu kuchek su-30
 
Wikipedia hawaruhsu watu kufanya modification ya habari zake.
Espicially from outside. Huwezi ku gain access from darabase zao unless uwe na special authorization.

Hakuna anaeweza kufanya modification labda wikipedia wenyewe. But not form outside
You are ignorant. Mimi nipo na account Wikipedia naweza kuanzisha article yoyote au kuongeza na kufuta section yoyote kwenye Wikipedia.
Hata hivyo guest yoyote anaweza fanya editing kwenye section.

Hapa inaonesha namna gani elimu yako kuhusu mitandao bado ni ndogo sana.
Nakushauri nenda shule kwanza haya mambo yanakuzidi uelewa.
 
Mm nakupa reality check bro. Tatizo hufuatilii mambo. Su -30 is not a bomber. Ni fighter.
Sema inauwezo wa kufanya multirole missions pia.

Yes mig-29 ni interceptor which sijakataa pia. Nimependekeza tu kuchek su-30
Sasa unahamisha ubishi wa kijinga sasa. What bomber does it means kwenye akili zako!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…