VIROBA SIO VIZURI MKUU! O-TEN(WATU PORI MORO) NA EAST COST UPANGA TEAM WAPI NA WAPI?!
ni kweli oten alikua east cost labda wewe ndio umebwia virobaVIROBA SIO VIZURI MKUU! O-TEN(WATU PORI MORO) NA EAST COST UPANGA TEAM WAPI NA WAPI?!
Shukrani kwa kumpa za uso uyo dogo mana inaonesha mziki hata haujuiWe jamaa unawajua East Coast Team kweli??? Halafu unamuita mwenzio viroba? East Coast walikua AY, GK, FA,O ten, Buff G, Pauline Zongo.......
Yah kulkuwa na Stan boy na madogo wengine nadhan hii ilipelekea kuvunjika kwa ECTkulikua na dogo mmoja anaitwa stan boy nasikia sasa hivi yupo USA anabeba box
Stanboy hakuwa ect but alishirikishwa tuu Mkuu..but he was hot r&b singer nyimbo yake ya sweart gal...kulikua na dogo mmoja anaitwa stan boy nasikia sasa hivi yupo USA anabeba box
Buff G analima Tumbaku Tabora.Wapi Buff G
Snare bado yupo town hapa, cku hizo namuona kwenye Movie za kibongo.Leo nimetokea kuwakumbuka members wawili wa ECT iliyokuwa ikiundwa na AY, FA, GK, SNARE NA PAULINE ZONGO wazee wa upanga east wako wapi snare na pauline zongo?!
Nimeikumbuka sana ngoma ya snare "funguo iliyopotea" na ngoma ya pauline zongo "nashindwa".
Tujue walipo tumewamiss kwenye game, even tujue hata ac zao za insta tu tosha. ni hayo tu, much love. hivi @AY au @FA hawako humu?! kweli?.
Hiyo ya sweet gal naikubali kinoma pia namkubali sana stan boiStanboy hakuwa ect but alishirikishwa tuu Mkuu..but he was hot r&b singer nyimbo yake ya sweart gal...