Wadau, natumia Decoder ya Easy Television,huwa nakilipia kila mwezi,chakushangaza kwenye hiki king`amuzi kina ch:32 lakini ninauwezo wa kutazama Ch: 18 tu na nyingine zinanidai Pin code ! kunayeyote mwenyekufahamu namna ya kuking`amua/ kukichakachua nachenyewe ? napenda kutanguliza shukran kwenu.
Nasikitika kwamba hakuna ambae ameweza hata kushauri ! nimepata ufumbuzi na sio kwa Easy pekeyao,kwa ving`amuzi vyote venyeuwezo wa kupoea data kupitia port za nyumba.
Nasikitika kwamba hakuna ambae ameweza hata kushauri ! nimepata ufumbuzi na sio kwa Easy pekeyao,kwa ving`amuzi vyote venyeuwezo wa kupoea data kupitia port za nyumba.