Easy! Yanga ndani ya nusu fainali

Indoraptor

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2019
Posts
249
Reaction score
506
Ushindi huu ukawe somo kwa mabingwa wapya wa robo fainali 2022/23 CAF "Makolo SC".

Msimu uliopita walitumia hadi uchawi ili kufuzu nusu fainali ya kombe la shirikisho. Lakini waliishia pale uwezo wao ulipofikia, walitwaa ubingwa wa Robo fainali usiokuwa hata na medali 2021/22.

Msimu huu waliparamia yasowahusu na hatimaye tumeshuhudia kilichowapata usiku wa Ijumaa.

Mashindano wanayoyaponda Yanga kayavuka kiulaiiini kabisa, Wao walitumia hadi uchawi lakini wapi, walichoambulia ni faini tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…