Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka Salama Na, eti anawahoji marafiki zake mpaka kuanza kudaka kila anaye trend Instagram.Jana nmeona rayvanny akifanya interview kwenye kipindi cha salama eatv nkashindwa kuelewa imekuwaje WCB na EATV wapi na wapi sikuwa na muda wa kufuatilia ila nilibaki na masawali
Siyo kweliKutoka Salama Na, eti anawahoji marafiki zake mpaka kuanza kudaka kila anaye trend Instagram.
Zamaradi PART 2.
Kama marafiki wameisha je?Kutoka Salama Na, eti anawahoji marafiki zake mpaka kuanza kudaka kila anaye trend Instagram.
Zamaradi PART 2.
Mnhh... We kiboko aisee.Huyu Salama kwanini habadilishi nguo nyeusi. Kama siyo uchawi ni nn
mic zinamuonekano mbaya au chafu nadhani[emoji1787][emoji1787]Na kingine kwanini mic wanapenda kuzifunika na vitambaa shida ni nini hapo sielewi
Huyu Salama kwanini habadilishi nguo nyeusi. Kama siyo uchawi ni nn
Ni ushirikina tu, hamna kingineNa kingine kwanini mic wanapenda kuzifunika na vitambaa shida ni nini hapo sielewi
Ni swag tu...Na kingine kwanini mic wanapenda kuzifunika na vitambaa shida ni nini hapo sielewi
Wew kama mimi tuJana nmeona rayvanny akifanya interview kwenye kipindi cha salama eatv nkashindwa kuelewa imekuwaje WCB na EATV wapi na wapi sikuwa na muda wa kufuatilia ila nilibaki na maswali
Thread closedKile ni kipindi binafsi mkuu cha Salama na mwenzie Michael na si kipindi cha Eatv....kama kipindi kilivyokuwa kipindi cha mkasi hapo nyuma hakikua cha Eatv pia....wanalipana kwa kuonyeshwa kipindi hicho.