Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Bingo, hata wasipokuajiri ntakuajiri mwenyewe bibie. Ila sio kwa hayo makovu mpaka nimejikuta naweweseka baada ya kuivuta taswira.[emoji12] [emoji12]Nina kovu moja usoni sio, la nchi hii.
Na makovu kama viraka mwilini..
kuna kipindi alikuwa anajifanya mdogo wake wema sepetu akawa anajiita bill sepetu hadi leo kuna wanaodhania hivyo,ni mdananda wa hali ya juu,anyway ndo media zetu hizo ,watu kama hao sidhani hata kama mshahara wanalipwa so wamiliki nao wanapenda cheap labour sababu hawa wadanandaa a.k.a laylow Gay bottoms wananchotaka ni kuuza sura wapate mabasha yenye hela.Anajiita bill sepenga, japokuwa ndo TV station nnayoipenda ila jamaa anaboa sana hana ujuzi wowote, kuna siku alimwambia victor wanyama eti yeye ndo anaconnection na madem wakali wote Wa mjini, atamtafutia kama anahitaji, wamuondoe kama gigy money tu
Hichi kipindi kilokua bab kubwa enzi zaSio Sam Misago,
Kuna mpuuzi flani hivi ambaye ukimwona tu ni lazima uutilie mashaka mfumo wake wa fikra kichwani!
Naskia anaitwa bill sepetuEti wanamuita sijui bill sepenga
Dah, city sound ya kila mondayBila kuisahau #City_Sound ya Seki.
Kweli we mzaramo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilitaka nishangae Sam wangu hizo tabia kaanza lini, wakati kipindi cha ENEWZ anakipeleka pouwa tu ye na Suzi Hicho Friday nin sijui sikifatiliagi a
Sana mida yke mibovu wengine Tunalea watt watu wazima[emoji41] [emoji124]