EATV mnakoelekea mnatia aibu sana!!!

du kama ni hivyo kweli jamaa anaboa si mchezo. hiko kipindi kinahusu nn wakuu?
 
Jamaa linapenda kurembua ka demu na kuji lamba midomo ka ma mbwa anaekunywa maji kucheka cheka hovyo kushika misambwanda ya wadada alio waalika kwenye kipindi kung'ata kucha kuinama hovyo kihasara hasara lisemwalo lipo inawezekana ni kweli mchele mke wa mjerumani....
 
Jamaa anahangaika Kama amebanwa na haja huyo. .
 
Yule jamaa itakua pungA

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
hivi huyu boya nani alimwita hapo na huu utaratibu umeanza lini yani mtu inakera sana kwanini asiwekwe kipindi kinapoisha zile dakika tano za mwisho ndo aongee upuuzi wake huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…