EATV na EA radio wamjia juu Diamond , kisa kusema hategemei redio na Tv pekee

jamani ehh, sio sawa kusema eti "kwa sasa sijtegemei radio na tv"

acheni mahaba yaliyopitiliza hadi mnajivua ufahamu.
Unataka kubisha nguvu ya mitandao kwa kizazi hiki?
Angalia umaarufu wa Harmo Rapa kaupatia wapi?
Wakati hana single redioni
 
Ukweli mtupu mkuu mfano hai in HarmoRapa amekuwa maarufu mtandaoni akiwa hana hats nyimbo moja redioni
Hata wakina gigy money

Kweli Mkuu huyu jamaa wazungu wanamuita "living example" kwa miezi michache huyu kijana kawa mkali wa mtaa kisa tu ya mashine inayoitwa instagram.
 
Unataka kubisha nguvu ya mitandao kwa kizazi hiki?
Angalia umaarufu wa Harmo Rapa kaupatia wapi?
Wakati hana single redioni

tv, radio, mitandao yote kwa pamoja ina nguvu kubwa.

atakaye diss kimoja wapo na kutegemea kingine kimoja tu anachemka.
 
Bado mnajiuliza kwanini matokeo ya Nectar ni mabovu?

"Sitegemei TV na Redio pekee"...... Hilo neno "pekee" mmelipeleka wapi hadi mnajudge kuwa Diamond kakosea?
 
Wampotezee tu waache kupiga nyimbo zake mashabiki wake wazifuate huko kwenye mitandao ya kijamii
 
Bado mnajiuliza kwanini matokeo ya Nectar ni mabovu?

"Sitegemei TV na Redio pekee"...... Hilo neno "pekee" mmelipeleka wapi hadi mnajudge kuwa Diamond kakosea?
Well said,jamaa kasema pekee akimaanisha Tv na Redio anavitegemea lakini sio Tv na Redio tu,Hata mitandao ya kijamii.
Hii planet bongo ndo maana ua sisikilizi.
 
Usifikiri Mzee Mengi anafanana na hao wapuuzi kama Ruge na Majay sijui.. Na usikute hata huyo Diamond mwenyewe hamjui..

Mzee Mengi anamjua sana Diamond Platnumz. That is why alimualika actually alimlipa kwenda kufanya performance kwenye birthday ya mke wake kipenz bibie Klynn mwaka 2014. Habari za WCB anazo.
 
Mzee Mengi anamjua sana Diamond Platnumz. That is why alimualika actually alimlipa kwenda kufanya performance kwenye birthday ya mke wake kipenz bibie Klynn mwaka 2014. Habari za WCB anazo.
Mshamba mwingine kutoka Tandale.. Google kwanza "Event Planners" alafu urudi nikupe majibu yako..

Binafsi nina ndugu yangu ambaye ana Hoteli yake huko Kenya, kuna kipindi huwa ananipigia simu kuniuliza ni msanii gani kwa Bongo yupo hot ili amchukue akafanye show huko. Mengi yeye huo upuuzi Diamond haujui, ni hao event planners waliambiwa tu wamchukue msanii ambaye yuko juu kwa wakati huo aende akatumbuize..
 
DIAMOND NI NANI KAMA NI DIAMOND PLATINUMZ ANAHITAJIKA KITUONI KEKO KWA TUHUMA ZA WIZI WA PESA ZA SERIKALI
 

Hata ningekua mshamba kutoka Kivule. Fact ni kwamba Mengi anamjua Diamond Platnumz NOW. Coz we are speaking of the Present. Either alitafuta event planners or organizers doesn't matter. Kitu pekee cha msingi unachoweza niambia nikakuelewa ni kwamba hawezi kuwa na beef na Diamond over a silly issue kama hii ambayo kina Dullah(wafanyakazi wake wa level ya mwisho kabisa) wanajaribu kuikuza. That can never be Yes. Ila kumjua anamjua vizuri sana.
 
ril????
 
Ni huyu huyu,
 
Msikuze mambo Mondi hakususa tuzo bali mkataba ulikua unambana,basi mtasema hata fiesta Mondi alisusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…