EATV ni bora ila hawa wanaiharibu

hakuna englsh pale pumba tu kinakera na kasura kake kama panya.

huku umefika mbali sasa,mwanzo tulikuelewa,kama una bifu nae alikutolea nje hapo sawa,c vizuri kumdhalilisha mwenzako anasura kama panya,weka sura yako hapa kwanza tuione ndo uendelee,dada wa watu ni mzuri labda useme icho kiswanglish tu.umenikera kumfananisha na panya.
 
mi yule jamaa anaepresent top five videos FNL ananikera kinoma.

Dullah mmemuonea yupo unique
 

Demu mcute kama yule useme kafanana na panya lazima tuanze kuona hapa kuna walakini...kale ni katoto,, ila kazuri ata manigga kama sie tunaweza kukaamo.
 
Demu mcute kama yule useme kafanana na panya lazima tuanze kuona hapa kuna walakini...kale ni katoto,, ila kazuri ata manigga kama sie tunaweza kukaamo.

tena kalivo kasafi..,adi uvinza unazama kiroho safiiii!
 
Acha uongo uyo B12 mwenyewe na wenzake wamemkopi Salama J style aliyotumia akitangaza redio.

Matumbo upo sawa,Salama J amewaharibu hao watoto woooote,Musa mwenyewe kakopi kila kitu,ndo mana alikua ana fit kwenye vipindi vya Salama (PB ya redio na TV)
 
Mimi kale kajamaa kanachosemaga sijui 'mafesibuku matwitaa' aisee kananiboa kichizi. Pia dulla kweli anavi element vya kubana pua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…