EAtv saa 1 kwanini mmepotosha maelezo ya mwenyekiti wa CHADEMA

EAtv saa 1 kwanini mmepotosha maelezo ya mwenyekiti wa CHADEMA

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Kwenye taarifa ya habari ya leo saa 1 jioni ilikuwepo taarifa ya mwenyekiti wa Chadema kuhusu uchaguzi mkuu ujao, mhe. Lissu kwenye maelezo yake amesema Chadema haitasusia uchaguzi, lakini maandishi kuhusu maelezo yanasema Chadema itasusia uchaguzi! Upotoshaji huu ni kwa manufaa ya nani? EATV SAA 1 Acheni ushabiki wa mitaani.
 
Kwenye taarifa ya habari ya leo saa 1 jioni ilikuwepo taarifa ya mwenyekiti wa Chadema kuhusu uchaguzi mkuu ujao, mhe. Lissu kwenye maelezo yake amesema Chadema haitasusia uchaguzi, lakini maandishi kuhusu maelezo yanasema Chadema itasusia uchaguzi! Upotoshaji huu ni kwa manufaa ya nani? EATV SAA 1 Acheni ushabiki wa mitaani.
Hata hivyo tu wamejitahidi. Wapongezwe kwa kuthubutu
 
Tangu Mzee mengi aondoke. Hiki chombo kimekosa ubunifu na kimeamua kuwa kunguni
 
Back
Top Bottom