Nimeshimdwa kuvumilia kiplndi chenu cha huyo anaitwa doctor, kimeisha leo jumanne tarehe 04/07/2027 saa nne na dk 59 usiku.
Wengi wanao piga simu mnakuwa mmewapanga, waongee ni?
Nimeumia sana, aisee hata kama ni pesa, kwann umdanganye mtanzania mwenzako? aisee?
Hata kama mna tibu acheni kuigiza au kupanga watu wanao piga cm kwenye kipindi chenu.
Am auti
Wengi wanao piga simu mnakuwa mmewapanga, waongee ni?
Nimeumia sana, aisee hata kama ni pesa, kwann umdanganye mtanzania mwenzako? aisee?
Hata kama mna tibu acheni kuigiza au kupanga watu wanao piga cm kwenye kipindi chenu.
Am auti