EATV: Zitto Kabwe ndani ya Mkasi

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia Kwemu,
ZZK anahojiwa na salama jabir ndani ya mkasi.
 
Anatamani sana kuacha siasa aingie katika kufundisha hesabu chuo kikuu.
 
Anatamani sana kuacha siasa aingie katika kufundisha hesabu chuo kikuu.

Mkuu kwa anavyoongea hapa kwa kweli hata mimi naona bora aachane na Siasa uchwara hizi alafundishe tu, ameshapotea kisiasa he has no need to wait
 
Mkuu kwa anavyoongea hapa kwa kweli hata mimi naona bora aachane na Siasa uchwara hizi alafundishe tu, ameshapotea kisiasa he has no need to wait

Hapo nadhani alikuwa anapiga propaganda tu hawezi acha siasa huyu maana zinamfaidisha sana!
 
Hapo nadhani alikuwa anapiga propaganda tu hawezi acha siasa huyu maana zinamfaidisha sana!

Mwenyewe kashaona kwa sasa kisiasa hana nguvu,wanaomsifia ni washabiki wa chama tawala ambapo zamani walikuwa hawamkubali.
 
Mwenyewe kashaona kwa sasa kisiasa hana nguvu,wanaomsifia ni washabiki wa chama tawala ambapo zamani walikuwa hawamkubali.

Hapo ndipo pa kujiuliza maswali mengi.... Kwa nini washabiki wa chama tawala kumsifia....
 
Jana nilizima Tv nilijua ni shetani anaongea...

Zitto ile sura yake inatisha sana..
 
Zito "the tragedy of miscalculations" kakosea mahali zito umaarufu wake umeyeyuka! Zamani huwezi fungua thread ya zito ikaishia coments mbili tatu kama hizi. Aache siasa
 
Zito "the tragedy of miscalculations" kakosea mahali zito umaarufu wake umeyeyuka! Zamani huwezi fungua thread ya zito ikaishia coments mbili tatu kama hizi. Aache siasa

His career is over like mike anyone tyson,jordan,jackson.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…