Ebaneeee!... Niliagiza secondhand laptop Ebay, hiki ndicho nilicholetewa posta!!

Ebaneeee!... Niliagiza secondhand laptop Ebay, hiki ndicho nilicholetewa posta!!

Steve Dii

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2007
Posts
6,402
Reaction score
1,273
8x7ers.jpg



Tafadhali sana, naomba msaada kumpeleka idara ya wanyamapori... bado anapumua, juzi nilimpatia dengu na choroko, lakini anaonekana kupendelea zaidi uji wa mtama!



wkend njema 😀
 
mmmh hii sio kweli ni story kama za SHY ............. ni udaku tu huu.
 
haiwezekani sababu kwa wenzetu hiyo ni ghali kuliko LAPTOP
 
Wewe kaka mkubwa fix zimeanza lini tena jamani?
au ndio style yakuaga pindi weekend inapoanza?Yaani unaacha umetushika maskio kwa bonge la fix fungua mwezi.



🙂
 
wv8j2a.jpg

(Epa - picha ya hivi karibuni)

Napenda kuwapa-update tu kuwa yule mnyama niliyetumiwa kwenye posta bado yu mwenye afya njema. Sikuweza kupata msaada kutoka idara ya wanyamapori, najitahidi kumudu hivyo hivo Ila anakula sana siku hizi. Ameanza kupendelea matopetope na mbegu za maboga kwa sana, kama kuna mtu analima maboga naomba anitaarifu nitafute njia ya kusafirisha.

By the way, tumeshampatia jina. tunamwita Epa, jina bado hajalizoea sana, kama kuna mtu mwenye pendekezo la jina jingine naomba anipatie.
Wkend njema.
 
Eh bwana..hiyo picha hapo juu (mwanzoni kabisa) iko kama imepigwa kwenye dumbster?
 
Ha-ha-ha-ha-ah.... Ah Ha-haa-hah-ah!
This is so funny

Huyu mnyama ni mvivu hata kufungua macho




.
 
Steve .. you are a big head .. nimeingia na jazba kukupa kwanza pole na kuwapiga madongo walokuuzia laptop.

nakushauri tu .. keep that animal away from the reach of children ... na kama ni gharama mpeleke butcher ... sijui wapi maana hata mbwa na popo wanaliwa kule
 
wv8j2a.jpg

(Epa - picha ya hivi karibuni)

Napenda kuwapa-update tu kuwa yule mnyama niliyetumiwa kwenye posta bado yu mwenye afya njema. Sikuweza kupata msaada kutoka idara ya wanyamapori, najitahidi kumudu hivyo hivo Ila anakula sana siku hizi. Ameanza kupendelea matopetope na mbegu za maboga kwa sana, kama kuna mtu analima maboga naomba anitaarifu nitafute njia ya kusafirisha.

By the way, tumeshampatia jina. tunamwita Epa, jina bado hajalizoea sana, kama kuna mtu mwenye pendekezo la jina jingine naomba anipatie.
Wkend njema.
...Mwite "Fisadi" maana anaonesha anapenda kujinafasi bila kutoka jasho cheki hata alivyokaa hapo..Sura yake inafanana na Fisadi mmoja al-maarufu sana anaitwa..... Muangalie vizuri utagundua tu.
 
8x7ers.jpg



Tafadhali sana, naomba msaada kumpeleka idara ya wanyamapori... bado anapumua, juzi nilimpatia dengu na choroko, lakini anaonekana kupendelea zaidi uji wa mtama!



wkend njema 😀

Brother Steve, umimnywesha nini huyu, mbona vimacho havitaki kufunguka, au kunlisha kungu? Mmmh! Mi naona kumnywisha gongo...wewe..?

Umiusikia lakini ushauri wa sister Naumi... ahah ah ah... eti anafaa kwa kufanywa mishikaki lol!
 
steved-albums-mh_pinda-picture173-epa.jpg


Napenda kuwahabarisha tu kuwa Epa yu mwenye afya. Sema tu wiki chache zilizopita alipatwa na viroboto... tulinunua dip na kumwogesha kwenye beseni. Sasa hivi yuko fiti tu na kwa kweli kawa mtundu sana.
Juzi kuna mbwa wa jirani alikuja maeneo ya karibu na dirisha kwenye mti anaopenda kukaa, acha atuchekeshe. Alimtolea ulimi na kuanza ku-blow rasberries (zile sauti za kumstitua mtu mwenye busha). Mbwa alivyojiondokea... akaacha. 🙂 🙂
Weekend njema!!


 
Steve D kweli wewe ni mkali kwenye vituko....yaani kama huna akili ya kuweza kuchambua...ulivyo eleza utaishia ku blame katuni huyo...ila i have understand japo kuw asio mzuri kwenye uandishi...hii si kama shy wa copy and paste...mpaka unasahau kama uli copy and paste wakati flani..unajichanganya.
 
steved-albums-mh_pinda-picture173-epa.jpg


Napenda kuwahabarisha tu kuwa Epa yu mwenye afya. Sema tu wiki chache zilizopita alipatwa na viroboto... tulinunua dip na kumwogesha kwenye beseni. Sasa hivi yuko fiti tu na kwa kweli kawa mtundu sana.
Juzi kuna mbwa wa jirani alikuja maeneo ya karibu na dirisha kwenye mti anaopenda kukaa, acha atuchekeshe. Alimtolea ulimi na kuanza ku-blow rasberries (zile sauti za kumstitua mtu mwenye busha). Mbwa alivyojiondokea... akaacha. 🙂 🙂
Weekend njema!!



SteveD

Huyo EPA wako kiama chake ni October 31 atakuwa katika dinner table za watu....
 
SteveD

Huyo EPA wako kiama chake ni October 31 atakuwa katika dinner table za watu....

....lakini wajua Masatu, jinsi vile alivyo mtundu.... ikifika siku hiyo hachelewi kupotelea ndani ya 'laptop'!!!
 
Ndugu zangu, nina furaha kubwa kuwataarifu kwamba Epa keshapata mtoto. Ana miezi minne sasa na wote wanaendelea kwa afya njema. Ilinibidi niwasiliane na idara moja ya kimataifa inayoshughulika na cross-border endangered species, member mmoja makini wa JF aliniunganisha nao baada ya kuwa amesoma maombi yangu. Kwa kweli ni furaha iliyoje, maana tulifanikisha kupata dume na kumpandikiza Epa, jamaa wanaushirikiano mwema sana.

Picha za karibuni niliyompiga Epa ni hii hapa:
steved-albums-this-and-that-picture594-epa-koala-cub2.jpg

Epa akiwa na mtoto wake, Epa Junior.

steved-albums-this-and-that-picture595-lilepa-koala-father.jpg

Huyu ndiye baba wa Epa Jr. kama nilivyompiga kwa kutumia kamera ya kimobiteli changu kwenye sanctuary ya wanyama walionusurika.

 
Back
Top Bottom