GP JF-Expert Member Joined Feb 5, 2009 Posts 2,049 Reaction score 161 Sep 4, 2009 #21 SteveD said: Huyu ndiye baba wa Epa Jr. kama nilivyompiga kwa kutumia kamera ya kimobiteli changu kwenye sanctuary ya wanyama walionusurika. Click to expand... mkuu SteveD, sasa kama uliletewa 'laptop' badala yake akaletwa 'EPA' peke yake, sasa huyu baba yake ulimpata wapi?? au 'laptop' ilikuja na 'ujauzito'??
SteveD said: Huyu ndiye baba wa Epa Jr. kama nilivyompiga kwa kutumia kamera ya kimobiteli changu kwenye sanctuary ya wanyama walionusurika. Click to expand... mkuu SteveD, sasa kama uliletewa 'laptop' badala yake akaletwa 'EPA' peke yake, sasa huyu baba yake ulimpata wapi?? au 'laptop' ilikuja na 'ujauzito'??
Homo Habilis Senior Member Joined Jul 2, 2009 Posts 188 Reaction score 23 Sep 4, 2009 #22 Shame for Jf,hakuna la maana uliloona linafaa kwa jamii(Elimisha zaidi..)