KITAULO
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,926
- 2,797
Mpenzi wa mchekeshaji Ebitoke ambaye pia ni msanii Simco amefunguka sababu za kukosekana mpenzi wake Ebitoke kwenye party yake ambaye aliifanya huku akizindua wimbo wake mpya na kueleza kuwa Ebitoke ameifuata zawadi nzuri sana ingawa kuna vitu vimeingiliana kuitoa Yadi.
Ikumbukwe Ebitoke aliingia rasmi kwenye mahusiano na Simco baada ya kuachana na Mlela.
Ikumbukwe Ebitoke aliingia rasmi kwenye mahusiano na Simco baada ya kuachana na Mlela.