Alijikwaa kwa bahati mbaya" ikacholopoka"..Ule ujauzito wa Mlela Ebitoke ameuhifadhi kwenye fridge kwanza?
Majanga chief.huwa nawaangalia sana vijana wenzangu halaf nataka kukubalibmay be mm ndio nimepitwa na wakat lakin Noo idea hiyo inagoma kabisa kukubalika kwenye akil yangu.
Uongo kwa sababu ebitoke anatembelea kiaisti atatolea wapi hilo gari show off tu kama hamisa