Ebitoke baada ya kumshindwa Snura aamua kumtusi Zari

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Haka ka ebitoke sikapendi siku hizi kwelli yani

Sanaa imemshinda kazi kutukana wanawake wenzake na kujiona yeye ndio yeye

Huyu kila kukicha anawatukana wanawake wenzake kisa tu hawako bikra

Siku chache zilizopita aliamua kumpa dongo Snura ila Snura hakumjibu lolote leo kaamua kumtusi Zari na kujivika udugu na Diamond as if Diamond ni kaka yake

Yaani haka katoto kanaingilia maisha binafsi ya watu na kuacha suala la sanaa


Mashabiki leo wameshindwa kumvumilia na kumchana liiive asijione super star na vichekesho vyake uchwara ambavyo kila kukicha ni vilevile vilivyokaa kingonongono





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…