Ebo kumbe kingereza chetu hakikubaliki Newzealand


Kinachonisikitisha zaidi ni kwamba ukitembelea nchi za nje utagundua kwamba ni Wakenya ndio wanaokieneza zaidi hata hicho kiswahili tunachojivunia kwa vile wanao uwezo wa kukifafanua kwa wageni kwa kutumia nyenzo ya kiingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…